dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Hata mm huwa nasema mungu Ni mwema Sana kwa watu wetu na ardhi yetuMungu anaipenda Tanzania, kuna janga lingine alituondolea miaka miwili iliyopita. Ashukuriwe na ahimidiwe milele
Nasubiri jibu!Hivi Magufuli mbona hujamtaja??
Kwahiyo unasema Samia alikuwa makamu wa raisi kwa kura halali za wananchi; March 19 aliapishwa kwa kura hizo hizo halali za wananchi sio?Karatasi ya mpiga kura inakuwa na picha mbili,KANUSHA!
Zote zinatengewa chumba kimoja Cha kuweka alama ya vema au vyovyote.
Hivyo SSH alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais Kwa kura zile zile alizopata yule Rais wako na baadaye Machi 19, akaapishwa kuwa Rais Kwa kura zile zile za awali alipokuwa mgombea mwenza.
Habari hii bila shaka utakuwa ni mkuki Kwa wengi
[emoji125][emoji125][emoji125]
In betweenKatikati maana yake nini?
Nakuunga mkono yote uliyoyasema, LAKINI hapo kwenye USHOGA panahitaji TAFAKURI PANA KIDOGO.Israel ni Nchi ya AHADI,
TANZANIA ni Nchi ya AGANO.
Imeandikwa Mungu atajiteulia TAIFA lake ktk siku za mwisho, Taifa hili litatumika kuwaficha WATAKATIFU wake dhidi ya Hila na utawala wa Mpinga kristo.
INJILI ya UFALME sawasawa na mathayo 24 itakayohubiriwa ULIMWENGUNI kote itahubiriwa Kutokea Tanzania.
SABABU ya umuhimu wake Kwa Dunia nzima, waliomo Tanzania lazima wachague upande, linakuja chujio la kuwatenga wema Kwa waovu Ili Ipatikane nafasi ya kuwatunza WATAKATIFU Kutoka mataifa mbalimbali duniani.
Tanzania ni kisiwa Cha AMANI, tangu zamani tumezisaidia Nchi nyingi kupata uhuru, limekuwa kimbilio la wapigania uhuru wengi kipangia mipango Yao ya Ukombozi, south Africa, msumbiji, Zimbabwe nk nk, hata Putin wa Russia,alipata uzoefubhapa akiwa kijana, Amani iliyopo Si Bahati mbaya.
Mshukuru Mungu Kuzaliwa TANZANIA, bt chukia sana Dhambi na UOVU, chukia USHOGA,na kumwaga Damu, maovu ndo hufanya Nchi ipate majanga Kutoka JUU sababu ya Damu kumwagika isiyo HATIA nk nk.
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen
Ndo nini?In between
Send your child to school!Ndo nini?
Wait and see what will happen.Nakuunga mkono yote uliyoyasema, LAKINI hapo kwenye USHOGA panahitaji TAFAKURI PANA KIDOGO.
Ukisema "tuchukie ushoga" unamaanisha nini? TUWAFUNGE JELA MASHOGA?
AMEENMungu anaipenda Tanzania, kuna janga lingine alituondolea miaka miwili iliyopita. Ashukuriwe na ahimidiwe milele
Asilimia kubwa kinachotuokoa sisi tunakubali 10% kabla mambo hayajawa mengi[emoji518]Kinga iliyonayo nchi ya Tanzania dhidi ya Majanga ni kali sana, hakuna nchi ya kulinganisha nayo hapa Afrika mashariki. Haijalishi janga liwe limetokea kiasili au limesababishwa na mwanadamu, nchi yetu kwa kutumia kingo za mipaka yake imetukinga sisi watoto wake.
Ukipitia twakimu kwa miaka mitano nyuma kwa nchi majirani; Mozambique, Malawi, Zambia, DRC, Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya utanielewa kipi namanisha naposema Kinga ya nchi hii sio ya mchezo.
Kabda ya yote ngoja niwapatie tu majanga ya rejareja ambayo majirani zetu wanaishi nayo.
Mozambique - cyclone freddy 2023, cholera 2022, cyclone gombe 2022, cyclone kenneth 2019.
Malawi - cyclone freddy 2023, cholera 2022, polio 2022, ukame 2018-22, kimbunga combe.
Zambia - mafuriko, ukame 2018-2022, kipindupindu 2023.
DRC - mafuriko 2022, volcano 2021, ebola 2022, kipindupindu 2022, polio 2018, vita wenyewe kwa wenyewe. Hii nchi wakazi wake wanajua kila aina ya janga.
Burundi - mafuriko 2021, maporomoko 2020, kipindupindu 2019.
Rwanda - mafuriko 2021, upepo mkali 2021, viwavi 2017, HINI 2009
Uganda - mafuriko 2022, nzige 2019, kipindupindu 2018, ebola 2022
Kenya - mafuriko 2021, ukame 2014-23, nzige 2019, viwavi 2017, kipindupindu 2022, yelow fever 2022, dengue 2021, polio 2018. Inashangaza sana Wakenya na kingereza chote lakini bado wanahaha na kipindupindu.
Tofauti na majirani zetu enyi watanzania shuhudieni jinsi mama yetu Tanzania alivyotulinda na haya majanga.
Tanzania - alitaka kuja Jobo mwaka 2021 akapulizwa, Kenneth naye mwk 2019 alifanywa hivyo hivyo, naye jiwe akapambana na ebola na zika. Hii nchii haina mfano dunia nzima, watanzania sisi japo hatujui sisi sio wa kubezwa hata kidogo, bila shaka tuna sehemu yetu kwenye ufalme wa Mungu.
Lakini, ndugu zangu mda mwingine napatwa na mashaka kuhusiana na usalama mkubwa uliopo kwenye amani ya nchi yetu. Ukitazama kenya, Mozambique, uganda, rwanda, congo, burundi hali ni tafrani wao kwa wao wanafanyiana unyama. Na siku zote ndugu wakigombana kuna adui anayewachonganisha kwa kutumia sababu za siasa, malighafi au dini ili apate maslahi yake. Sasa mbona huyo adui hajatugombanisha mpaka leo watanzania ana mpango gani na sisi, au akishawamaliza anakuja kuishi hapa nchini kwetu.
Labda usalama huu kutoka majanga makubwa makubwa ni kutokana kuwa na nafuu ya uongozi wenye kufuata haki za kibinadamu. Hivyo kinga ni kama baraka, tumekuwa na nyerere, mwinyi, mkapa, Kikwete, Samia. Kama alivyobarikiwa Ibrahim wa Israel basi nasi huko nyuma kuna mwamba tunatembea na baraka zake. Inashangaza sana kasikazini hatari kusin hatari mangaribi hatari na mashariki wapo ndugu zetu na marafiki zetu wazanzibari na sisi tupo salama katikati. Tuwapende sana wazanzibari, ukiangalia kipindi hiki tunapata mvua ya kipimo chetu, tunafurahi , watoto wetu wanatoka nje wanaruka ruka kwenye matonye ya mvua yasio na hila yoyote ile.
Ewe mama yetu Tanzania tunakushukuru sana sisi watoto wako, ingawa tunakukwangua udongo wako na kuwapa wengine tunaomba utusamee.
Picha la kutisha kutoka shambani
Na hiyo dp nafananisha hiyo sura na haya maneno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo sauti ninayo ipata balaa[emoji86][emoji86][emoji86]NA CORONA PIA ILITOKOMEA CHINI YA JEMEDARI JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI.
Najua hautaki kumtaja Magufuli kwa sababu roho lako limejaa ufisadi mtupu.
Mungu asante kwa kutupa Magufuli, KWA HAKIKA NCHI IMEPONA KWELI KWELI.
MAJIZI na MADALALI YA CHANJO sijui yalitokomea wapi!!!?? Hatukuyaona tena tangiapo!!!
Ewe mama yetu Tanzania tunakushukuru sana sisi watoto wako,
Magufuli alimtanguliza MunguSema ulichotaka kusema....siamini kama hujui kuwa Samia ndio sio raisi wa kuchaguliwa hapo, na huyo uliyemuacha pengine ndo anamchango mkubwa kwenye mshikamano kwa asilimia kubwa ya wananchi wa sasa, alileta elimu dunia kidogo, watu wakafunguliwa macho.
Mbona majanga yalishatupata makubwa tu?Kinga iliyonayo nchi ya Tanzania dhidi ya Majanga ni kali sana, hakuna nchi ya kulinganisha nayo hapa Afrika mashariki. Haijalishi janga liwe limetokea kiasili au limesababishwa na mwanadamu, nchi yetu kwa kutumia kingo za mipaka yake imetukinga sisi watoto wake.
Ukipitia twakimu kwa miaka mitano nyuma kwa nchi majirani; Mozambique, Malawi, Zambia, DRC, Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya utanielewa kipi namanisha naposema Kinga ya nchi hii sio ya mchezo.
Kabda ya yote ngoja niwapatie tu majanga ya rejareja ambayo majirani zetu wanaishi nayo.
Mozambique - cyclone freddy 2023, cholera 2022, cyclone gombe 2022, cyclone kenneth 2019.
Malawi - cyclone freddy 2023, cholera 2022, polio 2022, ukame 2018-22, kimbunga combe.
Zambia - mafuriko, ukame 2018-2022, kipindupindu 2023.
DRC - mafuriko 2022, volcano 2021, ebola 2022, kipindupindu 2022, polio 2018, vita wenyewe kwa wenyewe. Hii nchi wakazi wake wanajua kila aina ya janga.
Burundi - mafuriko 2021, maporomoko 2020, kipindupindu 2019.
Rwanda - mafuriko 2021, upepo mkali 2021, viwavi 2017, HINI 2009
Uganda - mafuriko 2022, nzige 2019, kipindupindu 2018, ebola 2022
Kenya - mafuriko 2021, ukame 2014-23, nzige 2019, viwavi 2017, kipindupindu 2022, yelow fever 2022, dengue 2021, polio 2018. Inashangaza sana Wakenya na kingereza chote lakini bado wanahaha na kipindupindu.
Tofauti na majirani zetu enyi watanzania shuhudieni jinsi mama yetu Tanzania alivyotulinda na haya majanga.
Tanzania - alitaka kuja Jobo mwaka 2021 akapulizwa, Kenneth naye mwk 2019 alifanywa hivyo hivyo, naye jiwe akapambana na ebola na zika. Hii nchii haina mfano dunia nzima, watanzania sisi japo hatujui sisi sio wa kubezwa hata kidogo, bila shaka tuna sehemu yetu kwenye ufalme wa Mungu.
Lakini, ndugu zangu mda mwingine napatwa na mashaka kuhusiana na usalama mkubwa uliopo kwenye amani ya nchi yetu. Ukitazama kenya, Mozambique, uganda, rwanda, congo, burundi hali ni tafrani wao kwa wao wanafanyiana unyama. Na siku zote ndugu wakigombana kuna adui anayewachonganisha kwa kutumia sababu za siasa, malighafi au dini ili apate maslahi yake. Sasa mbona huyo adui hajatugombanisha mpaka leo watanzania ana mpango gani na sisi, au akishawamaliza anakuja kuishi hapa nchini kwetu.
Labda usalama huu kutoka majanga makubwa makubwa ni kutokana kuwa na nafuu ya uongozi wenye kufuata haki za kibinadamu. Hivyo kinga ni kama baraka, tumekuwa na nyerere, mwinyi, mkapa, Kikwete, Samia. Kama alivyobarikiwa Ibrahim wa Israel basi nasi huko nyuma kuna mwamba tunatembea na baraka zake. Inashangaza sana kasikazini hatari kusin hatari mangaribi hatari na mashariki wapo ndugu zetu na marafiki zetu wazanzibari na sisi tupo salama katikati. Tuwapende sana wazanzibari, ukiangalia kipindi hiki tunapata mvua ya kipimo chetu, tunafurahi , watoto wetu wanatoka nje wanaruka ruka kwenye matonye ya mvua yasio na hila yoyote ile.
Ewe mama yetu Tanzania tunakushukuru sana sisi watoto wako, ingawa tunakukwangua udongo wako na kuwapa wengine tunaomba utusamee.
Picha la kutisha kutoka shambani
Hakika, au kutotoa taarifa sahihi kuzuia taharuki kwa watu hasa yakiwa sio ya asiliMajanga mengi yanapita kushoto huenda ni upepo unapovuma
Ingawa na sisi yanatokea ila kidogo sana
Wana geography watasema
Maana tukisema sisi hatuna madhambi kama watoto wadogo sio kweli
πππ Hapa nikasema subiri kwanza Micheke kidogo duuuh π€£watanzania sisi japo hatujui sisi sio wa kubezwa hata kidogo, bila shaka tuna sehemu yetu kwenye ufalme wa Mungu.
Kwa hio KIGOMA na RUVUMA na majanga ya radi hata mvua isiponyesha imekaaje hapo wajitafakari mara 4 na kujitafuta mara 70 na 7 ?Hizi hapa silaha za Mungu
1. Earthquakes
2. RAINFALLS
3. Thunderstorms
4. Fire Storms
5. Lightings
Ukiona Ardhi imepatwa na mambo haya....., basi ni wazi Mungu anakua anataka wakazi wa Ardhi ile wajitafakari na kujitafuta sana.