Bila shaka nchi ya Tanzania ina kinga kali sana

Hata waisraeli walipata wafalme chenga, unaposema juu ya elimu nakushangaa bwana yule pasipo AIBU alifukuza wanafunzi wa kike waliopata mimba mashuleni.
Hapo sasa hao mabinti watoto wao watakuwa na elimu gani, anaunda kizazi gani.
Umezimgua aisee Bwana yule mtoto wake hakuwahi kupigwa mimba akiwa shuleni kwa hio kwa upande wake alikua sahihi Ila km wewe mwanao aliwahi kupigwa mshindo akiwa shule kisanga unakijua
 
ni katika umasikini wetu na dhiki zetu ukuu wake unadhihirika
Duuh kwa hio sasa umasikini umekua ni kitu cha kujisifia kua Bora Mungu katuumba masikini, Ila kuna sababu mfano mimi ningekua tajiri wa kutupwa sidhani hata km ningevuka miaka 30 maana hivi tu nipo kawaida nna maadui wa kutosha kila siku wananiwinda sasa ningekua tajiri wa kutupwa si ningekua nimeshaaga siku nyingi Ivan au Ginimbi
 
Kuna watu wanalia Kwa Mungu usiku na mchana Mungu aihurumie nchi hii ,sio kwamba sisi ni special sana ni huruma za Mungu TU.
 
Tanzania ni nchi pekee dunian kila kipind cha hali ya hewa kipo kwa mwaka kwa kanda tofauti.
 
Upo sawa upo sawa
 
Mbona majanga yalishatupata makubwa tu?
Mfano:
Kuzama Mv bukoba mwaka 1996
Mvua za mafuriko ya Elnino mwaka 1998
Ajali ya Tren nk.
Pia kuna janga la "Jiwe" mwaka 2020 - mwaka
Ni machache na hilo la mwisho ni mfano mzuri sana juu ya utashi wa ajabu uliyonayo nchi yetu
 
Acha mbwembwe, huyo si raisi wa kuchaguliwa kwasasa. Yupo hapo kwa matakwa ya kikatiba tu. Muda utafika atapita kwa kuchaguliwa.
 
Umezimgua aisee Bwana yule mtoto wake hakuwahi kupigwa mimba akiwa shuleni kwa hio kwa upande wake alikua sahihi Ila km wewe mwanao aliwahi kupigwa mshindo akiwa shule kisanga unakijua
Hili swala lapaswa kuangaliwa objective, mtoto wa kike mayai yamekomaa, homoni zimepamba moto, kwa mama yetu Tanzania huu ni muda sahihi binti kubeba mimba na kuendeleza idadi, acha kuwazia artificial time ya kuwekwa darasani na sheria zilizowekwa zenye upofu wa natural biological clock.
hivyo sio jambo la ajabu binti aliyepevuka kushika mimba, a true leader should act objectively and not subjectively.
 
Mwenyezimungu anatuepusha nayo na ndo jambo lakushukuru sana
 
Hizi hapa silaha za Mungu

1. Earthquakes
2. RAINFALLS
3. Thunderstorms
4. Fire Storms
5. Lightings

Ukiona Ardhi imepatwa na mambo haya....., basi ni wazi Mungu anakua anataka wakazi wa Ardhi ile wajitafakari na kujitafuta sana.
Kwa haya mafuriko ya Mbezi juzi inabidi wakazi wa Mbezi chini wajitafakari eeh😀😀😀 maana Prado, Renji Rover zimeenda sana na maji
 
Ukanda wa ikweta wote hauna vitu vya ajabu ajabau vinavyotekoea kadri unavyosogea mbli na ikweta ndo mambo yanazidi kuwa magumu, chunguza nchi zote zilizopitiwa na mstari wa ikweta zipo safe na vitu kama vimbunga, floods
 
Hata waisraeli walipata wafalme chenga, unaposema juu ya elimu nakushangaa bwana yule pasipo AIBU alifukuza wanafunzi wa kike waliopata mimba mashuleni.
Hapo sasa hao mabinti watoto wao watakuwa na elimu gani, anaunda kizazi gani.
Kwani kabla yake hao wazazi waliruhusiwa kurudi shule???
 
Hizi hapa silaha za Mungu

1. Earthquakes
2. RAINFALLS
3. Thunderstorms
4. Fire Storms
5. Lightings

Ukiona Ardhi imepatwa na mambo haya....., basi ni wazi Mungu anakua anataka wakazi wa Ardhi ile wajitafakari na kujitafuta sana.
Una kiwango gani Cha elimu
 
Na hiyo dp nafananisha hiyo sura na haya maneno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo sauti ninayo ipata balaa[emoji86][emoji86][emoji86]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

DP INAFOKA AUTOMATICALLY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…