Bila shaka nchi ya Tanzania ina kinga kali sana

umeandika ila ulipomruka JPM nkasema kuna haja ya kukaza nati moja unaeza ukawa janga pia kwa watz
 
halaf hajui kuwa huyo ndo aliliondoa janga la kibiti
 
Hata waisraeli walipata wafalme chenga, unaposema juu ya elimu nakushangaa bwana yule pasipo AIBU alifukuza wanafunzi wa kike waliopata mimba mashuleni.
Hapo sasa hao mabinti watoto wao watakuwa na elimu gani, anaunda kizazi gani.
panya road + kibiti kaiondoa huyo unamuita chenga , mbagala ilikuea haikarik kwa uhalifu watoto walikimbilia SA nahisi ww ni miongon , leo hii Panya road wanafanya tukio kawe nyuma ya kitio cha polisi kisha wanaondoka hlf kiongoz husika unamueka hapo , pia watoto wanaka nje ya kamb ya lugalo , kakaze nati hizo kichwan
 
Yule bwana alitumiwa kama kifaa na nchi yetu kwa nyakati zile, sasa nyakati hakuna hayo madude alikuwa anaenda kuumiza taifa. Ni kama kinga ya mwili tu ingawa inafanya kazi kupapamba na vidudu lakini pia ni hatari kwa mwili endapo itamistake sell za mwili kama adui.
 
Labda kamsahau tu[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…