Maisha ni mchakato kaka,ukiona unapanda mhindi leo kesho unavuna,hiyo ni hatari 'ogopa'Wala usihofu yote hayo tutayafikia na vichaka vyote mnayojifichia tutayafyeka kabsa mafanikio siku zote hayahutaji haraka sio kama wewe ulieganda kwa kuridhika na hatua uliyofikia yanga road to final save this comment
Manji alilenga soka la ndani,Moodewji ndio amewafungua macho nyie wote, Bakhresa na GSM.Dewji aliweka wazi mpango wake na nia yake ya kuifanya simba miongoni mwa club 10 bora afrika ndani ya miaka mitano tangu alivyoanza kuwekeza na hilo limetimia,na hapo bado hajapewa timu rasmi vipi akiwa mwekezaji kamili!Bila Manji uwekezaji kwenye Club tunge usikia kwa wenzetu.
Nani ka kwambia Manji alenge soka la ndani kwani wale wachezaji wa nje aliwasajili wa nini?Manji alilenga soka la ndani,Moodewji ndio amewafungua macho nyie wote, Bakhresa na GSM.Dewji aliweka wazi mpango wake na nia yake ya kuifanya simba miongoni mwa club 10 bora afrika ndani ya miaka mitano tangu alivyoanza kuwekeza na hilo limetimia,na hapo bado hajapewa timu rasmi vipi akiwa mwekezaji kamili!
Kwa taarifa tu chachu ya Simba kufanya vizuri Kimataifa ilisababishwa na Yanga. Enzi hizo kabla hujaanza kufatilia Mpira nyie tulikuwa tunawaita wa MATOPENI sijui kama unajua hilo. Yanga ilikuwa ya Kimataifa. Kabla ya Nyie na Namungo hao, Yanga amecheza mara mbili makundi kombe la Shirikisho. Kwa hiyo wewe wa MATOPENI acha kujidai.Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.
Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.
Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.
Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.
Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Fainali ya bibi yakoFainali ipi
HUU NI UTETEZI AU UNAJIFARIJI KIDHAIFU NAMNA HIYO, YANGA HAPA ILIPOFIKIA HAIKUFIKA KWA BAHATI MBAYA NA WALA HAIKUFIKA KWA MGONGO WA MTU AU KWA MSAADA WA MTU ISIPOKUWA NI WAO WENYEWE WALIKAA CHINI NA KUJITAFUTA KUWA WAPI WALIKOKUWA WANAJIKWAA, ACHENI MANENO YA MATAKON MAZUMBUKUKU NINYI.Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.
Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.
Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Imeshapita fainali?Ni kweli, ila Yanga imetufundisha mafanikio sio Robo Fainali wala kufa kiume. WE WANT MORE.
huo ni wazimuTunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.
Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.
Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Nikumbushe matokeo ya hiyo mechi.Sijui kolo ni nani ila kama unamaanisha simba,simba alimtoa zamaleki yule wa moto kwao.
Basi itakua bila Yanga kuanzishwa mikia nao wasingepata wazo la kuanzisha timu kwahio hata hayo mawazo ya kimataifa yasingekuwepoYanga imezaliwa 1931 na ndiyo timu yenye makombe mengi zaidi nchini. Nani ajifunze kwa mwezake hapo?
Maelezo yako mengi ila hayajaeleza alifanikiwaje kimataifa.Nani ka kwambia Manji alenge soka la ndani kwani wale wachezaji wa nje aliwasajili wa nini?
Manji alikuwa nia na malengo yake ni soka la nje na ndio maana hata mishahara mikubwa ilianza kulipwa na Manji ili kuwa vutia wachezaji wakubwa wa nje na tufanye vizuri kimataifa ndio ilikuwa dream yake. Mpaka sometimes mechi za kimataifa vingilio ilikuwa ni free kabisa.Ila waliokuwa wakisajili walimuangusha.
Manji kila siku alikuwa anaitaka timu ya Yanga ,ila akakutana na vikwazo upande wa uwekezaji.
Mo alichukua haya mapungufu mawili ya kusajili wachezaji wakubwa na kuanza michakato ya uwekezaji Simba ili awe na uhakika wa hela yake anayo itoa.
Na kuthibitisha hili katafuta intvw ya Mkasi ya Mo na Salama Jabir utaona Mo alivyo kuwa akiumia na ubovu wa Simba na kuumizwa zaidi na mafanikio ya Yanga kipindi cha Manji.Kupitia hiko kipindi ndipo michakato ikaanza, kwani baada ya hiyo intvw, Manara akaita press conference na akaliongelea hili kama msemaji wa club.
Then mkawa mnaishia kutolewa na kina township rollers hatua za awali,ndio muwe chachu ya simba,kuna msemo unasema numbers don't lie,lete namba za simba na yanga kimataifa uue game sio poroja,mimi sihitaji kukuelezea maana takwimu za simba zinajieleza.Kwa taarifa tu chachu ya Simba kufanya vizuri Kimataifa ilisababishwa na Yanga. Enzi hizo kabla hujaanza kufatilia Mpira nyie tulikuwa tunawaita wa MATOPENI sijui kama unajua hilo. Yanga ilikuwa ya Kimataifa. Kabla ya Nyie na Namungo hao, Yanga amecheza mara mbili makundi kombe la Shirikisho. Kwa hiyo wewe wa MATOPENI acha kujidai.
Tueleze kivipi simba inarudi nyuma na yanga anasonga mbele.Maisha ukiishi kwa kuegesha utafeli tu. Simba sijui Coastal unioni tusipende sana kuishi historia bali tuangalie tuendako.
Yanga alifanya makosa yake amerekebisha anasonga. Simba alishafanya marekebisho sasa mbona anarudi nyuma?
Tuishe sasa na huko tuendako historia itupe tu funzo ya kuturekebisha tuendako.
Hivyo acha kuishi yaliyopita (maisha ya kuegesha).
Acha majigambo bila GSM ungekuwa hapo leo?HUU NI UTETEZI AU UNAJIFARIJI KIDHAIFU NAMNA HIYO, YANGA HAPA ILIPOFIKIA HAIKUFIKA KWA BAHATI MBAYA NA WALA HAIKUFIKA KWA MGONGO WA MTU AU KWA MSAADA WA MTU ISIPOKUWA NI WAO WENYEWE WALIKAA CHINI NA KUJITAFUTA KUWA WAPI WALIKOKUWA WANAJIKWAA, ACHENI MANENO YA MATAKON MAZUMBUKUKU NINYI.