Bila simba imara soka la kimataifa tungelisikia kwa wenzetu tu

Bila simba imara soka la kimataifa tungelisikia kwa wenzetu tu

Maelezo yako mengi ila hayajaeleza alifanikiwaje kimataifa.
Aliattempt kwa kuwekeza pamoja na kuwalipa mishahara mikubwa hakufanikiwa nimekupa sababu why hakufanikiwa pamoja na kuwekeza hela ndefu, labda kama una majibu yako.

Naweza kusema Yanga wanarekebisha alipo shindwa Manji na ndio maana GSM katumia approach nyingine kurekebisha makosa ya Manji,ndio sababu tumeattemp mara tatu, mbili tumetoboa kwa kuingia fainali confederation na kuingia robo.
 
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.

Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.

Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Kwa taarifa tu chachu ya Simba kufanya vizuri Kimataifa ilisababishwa na Yanga. Enzi hizo kabla hujaanza kufatilia Mpira nyie tulikuwa tunawaita wa MATOPENI sijui kama unajua hilo. Yanga ilikuwa ya Kimataifa. Kabla ya Nyie na Namungo hao, Yanga amecheza mara mbili makundi kombe la Shirikisho. Kwa hiyo wewe wa MATOPENI acha kujidai.
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.

Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.

Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.

Then mkawa mnaishia kutolewa na kina township rollers hatua za awali,ndio muwe chachu ya simba,kuna msemo unasema numbers don't lie,lete namba za simba na yanga kimataifa uue game sio poroja,mimi sihitaji kukuelezea maana takwimu za simba zinajieleza.
Nimesema hapo tulikuwa tunaishia makundi ambacho hujaelewa Nini. Kipindi hicho mlikuwa wa MATOPENI wewe mtoto mdogo huwezi kuelewa.
 
Sasa unauliza maswali ya kebehi una maana gani? Yanga ilipocheza na USM Alger ilikuwa ni nini? Simba ana medali gani kimataifa?
Tumeshawaambia sana kwamba simba ameshacheza kombe la shirikisho na stella abijan lakini kwasababu zenu mnazozijua hamtaki kukubali,hauna cha ajabu cha kumfundisha simba hata malengo yako na simba ni vitu viwili tofauti,wakati wewe malengo yako yalikuwa kufika hatua ya makundi simba aliweka malengo ya kufika nusu fainali.
View attachment 2917180
 
Simba wana unasaba na waarabu?? Afungwr mwarabu asikitike na kujifariji simba
 
1969
 

Attachments

  • FB_IMG_17089618746562490.jpg
    FB_IMG_17089618746562490.jpg
    391.5 KB · Views: 2
Nilivyoona umeandika "mabadiriko" nikaacha kabisa kuendelea kusoma.
 
Nenda kwenye page ya caf wenye kombe lao wamesema unaingia robo kwa mara ya kwanza,sasa jiulize toka 1931 kwanini kuingia makundi na kufika hatua uliyofika jana ilikuwa kazi,kutangulia kuzaliwa kwako hakukuwa na faida mpaka ulipofundishwa na mdogo wako.
Hakuna medal za robo
 
Tumeshawaambia sana kwamba simba ameshacheza kombe la shirikisho na stella abijan lakini kwasababu zenu mnazozijua hamtaki kukubali,hauna cha ajabu cha kumfundisha simba hata malengo yako na simba ni vitu viwili tofauti,wakati wewe malengo yako yalikuwa kufika hatua ya makundi simba aliweka malengo ya kufika nusu fainali.
View attachment 2917180
Kwahiyo Stella Abijan akacheza super dhidi ya timu gani?
 
Tumeshawaambia sana kwamba simba ameshacheza kombe la shirikisho na stella abijan lakini kwasababu zenu mnazozijua hamtaki kukubali,hauna cha ajabu cha kumfundisha simba hata malengo yako na simba ni vitu viwili tofauti,wakati wewe malengo yako yalikuwa kufika hatua ya makundi simba aliweka malengo ya kufika nusu fainali.
View attachment 2917180
Mkiambiwa nyie ni mbumbumbu muwe mnaelewa, Haya nionyeshe medali ya CAF uliyonayo nikuonyeshe miguu ya nyoka!
 
Mkiambiwa nyie ni mbumbumbu muwe mnaelewa, Haya nionyeshe medali ya CAF uliyonayo nikuonyeshe miguu ya nyoka!
Anza wew kuonesha hiyo medali,ambayo caf imeanza kutoa kwa mashabiki wa Yanga labda useme wewe ni kibwana shomari
 
Back
Top Bottom