Sasa unauliza maswali ya kebehi una maana gani? Yanga ilipocheza na USM Alger ilikuwa ni nini? Simba ana medali gani kimataifa?Hamna haja ya kashifa
Aliattempt kwa kuwekeza pamoja na kuwalipa mishahara mikubwa hakufanikiwa nimekupa sababu why hakufanikiwa pamoja na kuwekeza hela ndefu, labda kama una majibu yako.Maelezo yako mengi ila hayajaeleza alifanikiwaje kimataifa.
Kimataifa nani anatakiwa kujifunza kwa mwenzieYanga imezaliwa 1931 na ndiyo timu yenye makombe mengi zaidi nchini. Nani ajifunze kwa mwezake hapo?
Yanga ana medali za CAF na amecheza fainali kombe la Afrika, nani ajifunze kwa mwenzake hapo?Kimataifa nani anatakiwa kujifunza kwa mwenzie
Kwa taarifa tu chachu ya Simba kufanya vizuri Kimataifa ilisababishwa na Yanga. Enzi hizo kabla hujaanza kufatilia Mpira nyie tulikuwa tunawaita wa MATOPENI sijui kama unajua hilo. Yanga ilikuwa ya Kimataifa. Kabla ya Nyie na Namungo hao, Yanga amecheza mara mbili makundi kombe la Shirikisho. Kwa hiyo wewe wa MATOPENI acha kujidai.Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.
Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.
Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.
Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.
Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Nimesema hapo tulikuwa tunaishia makundi ambacho hujaelewa Nini. Kipindi hicho mlikuwa wa MATOPENI wewe mtoto mdogo huwezi kuelewa.Then mkawa mnaishia kutolewa na kina township rollers hatua za awali,ndio muwe chachu ya simba,kuna msemo unasema numbers don't lie,lete namba za simba na yanga kimataifa uue game sio poroja,mimi sihitaji kukuelezea maana takwimu za simba zinajieleza.
Nimekuuliza nawew unaniuliza daaah we kweli jiweYanga ana medali za CAF na amecheza fainali kombe la Afrika, nani ajifunze kwa mwenzake hapo?
Tumeshawaambia sana kwamba simba ameshacheza kombe la shirikisho na stella abijan lakini kwasababu zenu mnazozijua hamtaki kukubali,hauna cha ajabu cha kumfundisha simba hata malengo yako na simba ni vitu viwili tofauti,wakati wewe malengo yako yalikuwa kufika hatua ya makundi simba aliweka malengo ya kufika nusu fainali.Sasa unauliza maswali ya kebehi una maana gani? Yanga ilipocheza na USM Alger ilikuwa ni nini? Simba ana medali gani kimataifa?
Hakuna medal za roboNenda kwenye page ya caf wenye kombe lao wamesema unaingia robo kwa mara ya kwanza,sasa jiulize toka 1931 kwanini kuingia makundi na kufika hatua uliyofika jana ilikuwa kazi,kutangulia kuzaliwa kwako hakukuwa na faida mpaka ulipofundishwa na mdogo wako.
Kwahiyo Stella Abijan akacheza super dhidi ya timu gani?Tumeshawaambia sana kwamba simba ameshacheza kombe la shirikisho na stella abijan lakini kwasababu zenu mnazozijua hamtaki kukubali,hauna cha ajabu cha kumfundisha simba hata malengo yako na simba ni vitu viwili tofauti,wakati wewe malengo yako yalikuwa kufika hatua ya makundi simba aliweka malengo ya kufika nusu fainali.
View attachment 2917180
Mkiambiwa nyie ni mbumbumbu muwe mnaelewa, Haya nionyeshe medali ya CAF uliyonayo nikuonyeshe miguu ya nyoka!Tumeshawaambia sana kwamba simba ameshacheza kombe la shirikisho na stella abijan lakini kwasababu zenu mnazozijua hamtaki kukubali,hauna cha ajabu cha kumfundisha simba hata malengo yako na simba ni vitu viwili tofauti,wakati wewe malengo yako yalikuwa kufika hatua ya makundi simba aliweka malengo ya kufika nusu fainali.
View attachment 2917180