1.Haji Manara, huyu alikuja simba amepauka kama katoka ukraine vitani, aliokotwa mitaa ya Lumumba akiwa dalali wa magari na kesi za utapeli Hans Pope akazizima
2. Senzo Mazingiza, huyu alikuja Bongo na suti moja mashavu yamesinyaa leo shavu dodo.
3.Tuisila Kisinda, Tonombe Mukoko, Azizi Ki hawa bila ya Simba kucheza kimataifa hakuna ambaye angewajua, uto wamewajua sababu ya kufuatlia game za Simba kimataifa
4. Itaendelea...