Mmang'ati
Senior Member
- Jan 8, 2011
- 184
- 49
Mkuu Getstart ukitizama maelezo ya yule dr utaona maelekezo ya pm yatakwama lakini swali la kujiuliza eneo la tukio si kuna mabaki ya hiyo kitu je hayatoshelezi ktk uchunguzi? Kama wamarekani kwa kutumia mabaki waliweza kujua kuwa kile kitank kilitengenezwa garaji gani na hiyo ni miaka zaidi ya kumi na ilopita je sisi bado hatujafikia ujuzi huo hata leo?