katika Uchunguzi wetu wa nani kweli wanashikiri ulipuaji wa kanisa Katoliki Arusha soma maeleze ya Mungi wa JF baada ya uchunguzi wake. Tutaunganisha dots zote mpaka tuujue ukweli. Intelligence jamii inafanaya kazi. Tumemjua Ni nani Victor alifikaje kanisa, kwa nini anahusishwa Je ni nani aliyelipua bomu na yuko wapi, Je aliondoka kwa miguu kutoka Kanisa?? Alikuwa na lafudhi gani?? Je mweusi, brown, mweupe, mchanganyiko, Je alikuwa na kofia, au ananywele. Je hakuna mtu aliyemwona akiteremka kwenye pikipiki ya Victor??
Je ni mwarabu? kwani kunabaadhi ya waarabu walioshikiliwa??? Connects dots everyone lets go......