Bila ushabiki, hebu wapange hawa 1 hadi 4 kulingana na kuzidiana ubora: Modric, Xavi, Pirlo na Iniesta

Bila ushabiki, hebu wapange hawa 1 hadi 4 kulingana na kuzidiana ubora: Modric, Xavi, Pirlo na Iniesta

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
aa019e608a5cb9be2255c4368b8034d8.jpg

8219806f2a25bb283d615664769a7b69.jpg

6a0e1f1e3fa7f2db9f597086fd27407c.jpg

d0b94660497912682077c67d34ab03bb.jpg
 
Kwa mtazamo wangu ni fair kumlinganisha Modric na Pirlo kwa sababu wanacheza eneo moja mara nyingi (hawa ni deep lying plymaker) ama waitaliano wanaita regista yaani kiungo mchezeshaji wa chini , Iniesta ni attaking midfider(box to box) , Xavi ni pure central midfielder
 
1. Pirlo, huyu wanaomzidi ni Gaucho, Zidane na Jj Okocha pekee.
2. Iniesta
3. Luka
4. Xavi ( Huyu ni mtalaam wa pass japo hakubahatika kufika level za KDB au Fabrigas).
Unataka kusema Fabrigas ni bora kuliko Xavier?
 
Back
Top Bottom