1.Iniesta
Unataka kusema Fabrigas ni bora kuliko Xavier?1. Pirlo, huyu wanaomzidi ni Gaucho, Zidane na Jj Okocha pekee.
2. Iniesta
3. Luka
4. Xavi ( Huyu ni mtalaam wa pass japo hakubahatika kufika level za KDB au Fabrigas).
Fabrigas ana assists nyingi na magoli mengi kwenye carrier yake kuliko XaviUnataka kusema Fabrigas ni bora kuliko Xavier?
Yani daah hatari sana.Haha vituko
Fabrigas ana assists nyingi na magoli mengi kwenye carrier yake kuliko Xavi
Only FOOL will think to replace one of those guys with Cesc......Fabrigas ana assists nyingi na magoli mengi kwenye carrier yake kuliko Xavi