Bila ushabiki, hebu wapange hawa 1 hadi 5 kulingana na kuzidiana ubora: Rooney, Ibrahimovic, Et'o, Drogba na Torres

Bila ushabiki, hebu wapange hawa 1 hadi 5 kulingana na kuzidiana ubora: Rooney, Ibrahimovic, Et'o, Drogba na Torres

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
75cb220d46198468cd39741b4149c440.jpg

643ad6598f14d7d982c69d3e5fa22c13.jpg

7f89796a4377b446e3d503a5b23d1c29.jpg

4dca822f85c6c3cc50a0935a754e8184.jpg

00fdf04d2e0f093ee14958223beaa400.jpg
 
Naona Rooney alikua na majukumu mengi tofauti na hao wengine 🤔
Rooney sio striker, maisha yake yote kacheza msimu miwili tu striker, alipoondoka berbatov kabla hajakuja RVP. Rooney most of time alikua no 10 role anayo cheza Bruno Fernandez sasa hivi, pia alicheza kama midfielder ukubwani na winga/Inside forward wakati wa Ronaldo/Tevez.

Sababu alikua anafunga sana ndio maana unaona watu wana compare na striker wengine.
 
Rooney sio striker, maisha yake yote kacheza msimu miwili tu striker, alipoondoka berbatov kabla hajakuja RVP. Rooney most of time alikua no 10 role anayo cheza Bruno Fernandez sasa hivi, pia alicheza kama midfielder ukubwani na winga/Inside forward wakati wa Ronaldo/Tevez.

Sababu alikua anafunga sana ndio maana unaona watu wana compare na striker wengine.
Kabisa huyu jamaa hata kiungo mkabaji alikua anacheza kwa ubora wa hali ya juu🤔
 
Hapo no.1 DIDIER YVES DROGBA WENGINE WANAFUATA, kama unataka kujua ukwel muulize CANAVARO wa Yanga, alimkaba ettoo na DROGBA mechi mbili tofauti, Anajua Kaz ya Didier
 
1.Didier Drogba
2.Samuel Ett’o
3.Zlatan Ibrahimovic (abracadabra)
4.Fernando Torres.

Rooney ni kiungo mshambuliaji, side 10.
Hana criteria ya kuwa kwenye hii list, wote hawa ni washambuliaji huwezi kumfananisha nao tutafanya makosa mno, hatutofikia muafaka hapa.
 
Back
Top Bottom