Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zlantan, Etoo, Drogba, Rooney,Torres
Naona Rooney alikua na majukumu mengi tofauti na hao wengine 🤔D
Drogba alikua hatari
Kabisa Rooney alikua na uwezo mkubwa wa kufanya mambo mengi ndani ya dimbaComplete striker
Ana over lap
Ana create
Ana defend.
Kwa kweli rooney alikuwa monster
Naona Rooney alikua na majukumu mengi tofauti na hao wengine 🤔
Kabisa ila Rooney ni monster zaidiNa drogba hivo pia
Rooney sio striker, maisha yake yote kacheza msimu miwili tu striker, alipoondoka berbatov kabla hajakuja RVP. Rooney most of time alikua no 10 role anayo cheza Bruno Fernandez sasa hivi, pia alicheza kama midfielder ukubwani na winga/Inside forward wakati wa Ronaldo/Tevez.Naona Rooney alikua na majukumu mengi tofauti na hao wengine 🤔
Kabisa huyu jamaa hata kiungo mkabaji alikua anacheza kwa ubora wa hali ya juu🤔Rooney sio striker, maisha yake yote kacheza msimu miwili tu striker, alipoondoka berbatov kabla hajakuja RVP. Rooney most of time alikua no 10 role anayo cheza Bruno Fernandez sasa hivi, pia alicheza kama midfielder ukubwani na winga/Inside forward wakati wa Ronaldo/Tevez.
Sababu alikua anafunga sana ndio maana unaona watu wana compare na striker wengine.
Rooney hamfikii hata ibrahimovicKabisa ila Rooney ni monster zaidi
Kwanza hao ni wachezaji waliotumika nafasi tofauti japo Rooney alikuwa multi player zaid.Rooney hamfikii hata ibrahimovic
Mi nayemkubali ni drogba style yake ya uchezajiKwanza hao ni wachezaji waliotumika nafasi tofauti japo Rooney alikuwa multi player zaid.