Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Hii ndio ilikuwa bendera ya Iran kabla ya take over ya magaidi wa IRGC
Walipoweza kufanya mapinduzi ya itikadi yao walihakikisha kuonesha rangi zao za ukweli. Ugaidi, itikadi kali, uminyaji wa haki za binadamu, vita dhidi ya muyahudi na mmarekani, uminyaji wa uhuru wa wananchi, etc
Unaweza ukajiuliza nini haswa Iran anachotafuta katika ulimwengu huu? Ana mshutumu muyahudi na mmarekani kuwa wana minya haki za watu wa mashariki ya kati lakini wao ndio wa kwanza wa kufanya kufuru kwa wananchi wao.
Wanashutumu magharibi kwa uonevu na maafa wakati wao ndio wanaofadhili vikundi vya kigaidi vinavyo chochea maafa na tabu katika mashariki ya kati.
Vita na harakati ya Iran sio ya kupigania haki ya muislam yoyote, vita na harakati yao ni ya kupigania itikadi yao ambayo asili yake ni ugaidi na maafa dhidi ya muyahudi na mkristo.
Walipoweza kufanya mapinduzi ya itikadi yao walihakikisha kuonesha rangi zao za ukweli. Ugaidi, itikadi kali, uminyaji wa haki za binadamu, vita dhidi ya muyahudi na mmarekani, uminyaji wa uhuru wa wananchi, etc
Unaweza ukajiuliza nini haswa Iran anachotafuta katika ulimwengu huu? Ana mshutumu muyahudi na mmarekani kuwa wana minya haki za watu wa mashariki ya kati lakini wao ndio wa kwanza wa kufanya kufuru kwa wananchi wao.
Wanashutumu magharibi kwa uonevu na maafa wakati wao ndio wanaofadhili vikundi vya kigaidi vinavyo chochea maafa na tabu katika mashariki ya kati.
Vita na harakati ya Iran sio ya kupigania haki ya muislam yoyote, vita na harakati yao ni ya kupigania itikadi yao ambayo asili yake ni ugaidi na maafa dhidi ya muyahudi na mkristo.