Bila ya Iran kurudi kuwa Uajemi, Mashariki ya kati itazidi kuungua

Bila ya Iran kurudi kuwa Uajemi, Mashariki ya kati itazidi kuungua

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Hii ndio ilikuwa bendera ya Iran kabla ya take over ya magaidi wa IRGC
07b48c49450db5ed24f73aea9f56d80b.jpg


Walipoweza kufanya mapinduzi ya itikadi yao walihakikisha kuonesha rangi zao za ukweli. Ugaidi, itikadi kali, uminyaji wa haki za binadamu, vita dhidi ya muyahudi na mmarekani, uminyaji wa uhuru wa wananchi, etc

Unaweza ukajiuliza nini haswa Iran anachotafuta katika ulimwengu huu? Ana mshutumu muyahudi na mmarekani kuwa wana minya haki za watu wa mashariki ya kati lakini wao ndio wa kwanza wa kufanya kufuru kwa wananchi wao.
Screenshot_20241001-123204.png


Wanashutumu magharibi kwa uonevu na maafa wakati wao ndio wanaofadhili vikundi vya kigaidi vinavyo chochea maafa na tabu katika mashariki ya kati.

Vita na harakati ya Iran sio ya kupigania haki ya muislam yoyote, vita na harakati yao ni ya kupigania itikadi yao ambayo asili yake ni ugaidi na maafa dhidi ya muyahudi na mkristo.
 
Hii ndio ilikuwa bendera ya Iran kabla ya take over ya magaidi wa IRGC
View attachment 3111961

Walipoweza kufanya mapinduzi ya itikadi yao walihakikisha kuonesha rangi zao za ukweli. Ugaidi, itikadi kali, uminyaji wa haki za binadamu, vita dhidi ya muyahudi na mmarekani, uminyaji wa uhuru wa wananchi, etc

Unaweza ukajiuliza nini haswa Iran anachotafuta katika ulimwengu huu? Ana mshutumu muyahudi na mmarekani kuwa wana minya haki za watu wa mashariki ya kati lakini wao ndio wa kwanza wa kufanya kufuru kwa wananchi wao.
View attachment 3112005

Wanashutumu magharibi kwa uonevu na maafa wakati wao ndio wanaofadhili vikundi vya kigaidi vinavyo chochea maafa na tabu katika mashariki ya kati.

Vita na harakati ya Iran sio ya kupigania haki ya muislam yoyote, vita na harakati yao ni ya kupigania itikadi yao ambayo asili yake ni ugaidi na maafa dhidi ya muyahudi na mkristo.
kuna taarifa za ukweli kwamba viongozi wa juu wa serikali ya IRAN,pamoja na askari wote wa serikali wanavuta SKANKA!!
 
Hii ndio ilikuwa bendera ya Iran kabla ya take over ya magaidi wa IRGC
View attachment 3111961

Walipoweza kufanya mapinduzi ya itikadi yao walihakikisha kuonesha rangi zao za ukweli. Ugaidi, itikadi kali, uminyaji wa haki za binadamu, vita dhidi ya muyahudi na mmarekani, uminyaji wa uhuru wa wananchi, etc

Unaweza ukajiuliza nini haswa Iran anachotafuta katika ulimwengu huu? Ana mshutumu muyahudi na mmarekani kuwa wana minya haki za watu wa mashariki ya kati lakini wao ndio wa kwanza wa kufanya kufuru kwa wananchi wao.
View attachment 3112005

Wanashutumu magharibi kwa uonevu na maafa wakati wao ndio wanaofadhili vikundi vya kigaidi vinavyo chochea maafa na tabu katika mashariki ya kati.

Vita na harakati ya Iran sio ya kupigania haki ya muislam yoyote, vita na harakati yao ni ya kupigania itikadi yao ambayo asili yake ni ugaidi na maafa dhidi ya muyahudi na mkristo.
sasa kuna nchi inapenda maandamano ya maafa? chadema wenyewe wameingia mitini baada ya kuona Polisi wanafanya mazoezi, wacha Iran ifanye yake
 
Ulishawahi kubikiri? Nna mainisha ulishawahi kufanya mapenzi na binti ambaye hakuwahi kumjua mwanaume kabla yako?
 
Back
Top Bottom