Bilal Waikela ni nani?

Bilal Waikela ni nani?

Tutambuane kwa majina na vyeo bila kujua dini yako wala kabila. Kinachoudhi na kuogopesha watu ni mambo yanayowakumba majirani zetu wa nchi nyingi kwa kua "Fulani ni muislamu na Fulani ni mkristo au Fulani ni mkikuyu na fulani ni masai" kuna aina za matabaka ambayo sio mazuri katika jamii, ingekua afadhali tubaki na tabaka la have and have not haya mengine yawekwe katika nafsi zetu.

Tungejadili hii mada kama historia ya kisiasa ingekua afadhali ssana.
Mkuu, hao viongozi wenyewe wanasisitiza ukabila!! Walipaswa kuuonesha umoja kwanza kwakutotoa kauli zenye viashiria vya ukabila na udini. Watoto huiga wafanyacho wazazi wao
 
Hakuna Mungu huyu tuliyeletewa kwenye vitabu. Hayupo. Katungwa na watu tu.

Habari za Uislamu na Ukristo ni tamaduni za watu wa nje tumepandikiziwa tu sisi Waafrika na sasa zinataka kutumaliza.

Tamaduni za uongo wa kijinga sana unaokuambia Wayahudi ni taifa teule la Mungu. Hivyo wewe Mzaramo huna maana kwa Mungu kulinganisha na Myahudi.

Ujinga sana.

Tamaduni zinazokuambia ukisali angalia Maka. Kama vile Mungu anakaa Maka. Kama vile kwenu Africa si muhimu Maka ndiko muhimu.

Ni njia ya kuku control kisaikolojia ufikiri Muafrika hana maana. Mwenye maana Muarabu na Myahudi.

Ujinga mkubwa sana.

Ukitaka kujua hilo angalia Quran na Biblia vitabu vyote hivi vimejaa logical contradictions kiasi kwamba haiyumkiniki kwamba ni vitabu vya Mungu.

Ukielewa hili, haya mengine ni mambo ya siasa za watu tu zinazotaka kujipaza juu kwa kutumia madhabahu ya dini za uongo na Mungu ambaye hayupo.

Waafrika weusi wanajifanya wanaujua Uislamu na Ukristo kupita Waarabu na Wayahudi.

Lakini historia za Waafrika na tamaduni zao wengi hata kuzijua hawazijui.

Aibu kubwa.
Dah umenifurahisha mno ndugu.
 
Nimekufurahishaje ndugu yangu?
Dini za watu zinatufanya tuumizane bure. Babu zetu walimuomba Mungu chini ya miti mikubwa na mawe makubwa na Mungu akaleta mvua,akawaepusha na balaa na mikosi na pia waliishi kwa furaha na amani. Hizi dini zilizoletwa na meli na ndege zimetuletea shida sana tunachukiana pasipo sababu
 
Back
Top Bottom