Bilali live on Friday Night Live Show

Bilali live on Friday Night Live Show

mgonjwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
514
Reaction score
223
Haki ya Mungu ni shida Bilali akihojiwa live na Sam Misago akana kwamba yeye ni shoga asema ye anapenda wanawake , video yake ilipoanza kucheza tu ikaanza kugoma kwa kweli laana hiii.

Anasema anamiliki small cafe nafwaaaa vile vi mishikaki wanavyojazana mashoga na mashamkupe wa mjini wakati wanasubiri uwape michongo ndo unaita cafe... We Bilali haaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Tokea mwaka jana niliapa kutokuangalia FNL,ni upuuzi tu sioni la maana.
Tena niliacha kipindi kile Gigy anahost show!
Uchafu mtupu
Sio tu gigy hata sam mwenyewe, ni siielewi especially wadada wanaokuja pale kucheza si kucheza sijui hata ni nini,ngoja tuwaachie wanaopenda kukiangalia hicho kipindi...
 
Haki ya mungu ni shida bilali akihojiwa live na sam misago akana kwamba yeye ni shoga asema ye anapenda wanawake , video yake ilipoanza kucheza tu ikaanza kugoma kwa kweli laana hiii .....anasema anamiliki small cafe nafwaaaa vile vi mishikaki wanavyojazana mashoga na mashamkupe wa mjini wakati wanasubiri uwepe michongo ndo unaita cafe ...we bilali haaaaaaa
Mimi nilidhani huu ndio mda muafaka wa kufanya matangazo yake internationally lakini kakataa,wao wenyewe hawajikubali ila huko Insta wanalilia tuwakubali vipi hawa viumbe..
 
Yani shoga kidawa anaitwa kwenye kipindi cha TV mmh kazi ipo
 
I thought ni Bilal icon of the nation na mwanafizikia mbobezi!
Kumbe Hizi laana Za ulimwengu!
 
Mimi nilidhani huu ndio mda muafaka wa kufanya matangazo yake internationally lakini kakataa,wao wenyewe hawajikubali ila huko Insta wanalilia tuwakubali vipi hawa viumbe..
Anatumia jina ghan insta
 
...nimeligoogle, pozi zake tu mara limebinua kiuno, mara limerembua macha full ujinga ujinga naamini ni moja ya majinga meengi ya kishoga....
 
Yani nilipoona headline "Bilali Live on Friday Night" nilishtuka sana nikaanza jiuliza Friday Night na Bilali wapi na wapi…!!kuja ndan nakuta habari za wanaoliwa kiboga nikachoka aisee…sikuwah kujua kama kuna mtu anajina hili alafu anashika ukuta…kwa kawaida nikiona majina ya "Bilali" na " Balali" huwa nayachanganyaga sana kiasi huwa nataka kujua kulikoni watapeli wale wameibuka upya nn kumbe watu wanaojiuza banah…!!
 
Back
Top Bottom