TANZIA Bilionea Charlie Munger afariki Dunia

TANZIA Bilionea Charlie Munger afariki Dunia

Nadhani Mwaka 2023 ndio tumeshuhudia vifo vya watu wengi mashuhuri.

Iwe kwenye michezo, siasa na Sasa kwenye anga ya biashara.

Ambapo siku ya Jana kulitokea kifo Cha mfanyabiashara mashuhuri Charlie Munger.

===

Warren Buffett's trusted confidante Charlie Munger died on Tuesday at age 99, leaving a void at Berkshire Hathaway (BRKa.N)that investors said would be impossible to fill despite the conglomerate's well-established succession plan.

Berkshire said Munger died peacefully at a hospital in California, where he lived. No cause was given. Munger would have turned 100 on Jan. 1.

"Berkshire Hathaway could not have been built to its present status without Charlie's inspiration, wisdom and participation," Buffett, Berkshire's 93-year-old chairman and chief executive, said in a statement.

View attachment 2828527
Wafanye mpango aende nazo basi
 
Alazwe mahali pema peponi. Ni muda sasa wa familia kuteua msimamizi wa mirathi. Itakuwa simanzi kuona wanandugu wanaanza kugombea mali za marehemu.
Kuna sehemu nimeona kama wamesema alishachgua successor, sa sijui kweli…
 
Ahahaha yaaah noma the biggest hand in poker, namfuatiaga sana Dan Bilzerian na kitabu chake cha the setup nimekisoma twice, wenzetu wanauchungu sana na hela aisee acha kabisaa
Uki pata muda tazama series ya breaking bad, prison break, na big mouth ya kikorea.
👉Ukiwa vizuri, Kuna mengi ya kujifunza humo(if you understand the meaning of upstairs.) toughlendon_1
 
He had a net worth of 2 billion,
FB_IMG_17012632448818611.jpg
 
Back
Top Bottom