TANZIA Bilionea Charlie Munger afariki Dunia

Wafanye mpango aende nazo basi
 
Alazwe mahali pema peponi. Ni muda sasa wa familia kuteua msimamizi wa mirathi. Itakuwa simanzi kuona wanandugu wanaanza kugombea mali za marehemu.
Kuna sehemu nimeona kama wamesema alishachgua successor, sa sijui kweli…
 
Ahahaha yaaah noma the biggest hand in poker, namfuatiaga sana Dan Bilzerian na kitabu chake cha the setup nimekisoma twice, wenzetu wanauchungu sana na hela aisee acha kabisaa
Uki pata muda tazama series ya breaking bad, prison break, na big mouth ya kikorea.
👉Ukiwa vizuri, Kuna mengi ya kujifunza humo(if you understand the meaning of upstairs.) toughlendon_1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…