Bilionea Dangote anataka kuinunua Arsenal

Bilionea Dangote anataka kuinunua Arsenal

RUCCI

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
1,701
Reaction score
1,714
tajiri wa kwanza afrika, aliko dangote, amekiri kuwa bado ana mpango wa kuinunua club ya arsenal licha ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 2010.

Dangote-OnoBello.jpg

dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 15.7 (£10.38bn) anawazidi walimiki wa sasa wa club hiyo, stan kroenke (£3.7bn) na alisher usmanov (£9.65bn).

“bado nina matumaini, siku moja kwa bei sahihi kwamba nitainunua timu hiyo,” dangote aliiambia bloomberg.

“ninaweza kuinunua, si kwa bei ya kijinga lakini kwa bei ambayo wamiliki hawatataka kukataa. Ninajua mbinu zangu.”


kwa sasa arsenal ina thamani £1bn, £988m.

kama deal hiyo ikifanikiwa, dangote atakuwa mwaafrika wa kwanza kuwa mmiliki wa timu inayocheza ligi kuu ya england.

chanzo: bongo5.com

=============

African billionaire aliko dangote admits that he remains keen on buying arsenal.

The 58-year-old nigerian, who is worth an estimated £10.3 billion - which makes him africa's richest man - explored the possibility of purchasing the club in 2010 but his approach was rejected.

"i still hope, one day at the right price, that i'll buy the team," dangote told bloomberg business. "i might buy it, not at a ridiculous price but a price that the owners won't want to resist. I know my strategy."

dangote, who has made his fortune through various operations including cement manufacturing, sugar supply and oil investments, says that he will concentrate on expanding his own business before launching a new offer for arsenal.

“we have $16bn-worth [£10.5bn] of investments in the next few years. Right now i want to take my own business to a certain level. Once i finish on that trajectory, then maybe [an offer will follow]," he continued.

Dangote is an arsenal fan but has criticised arsene wenger, claiming that the 65-year-old "needs to change his style a bit" and warning that the club "need new direction".
 
sidhan wakina usmanov, kroenke hawawezi kubali
 
Wazungu hawatakuwa tayari kumuuzia Muafrica timu.. It'll be shame to them..

Hawa watu sio binadamu wenzetu kabisa, wana roho za ajabu sana..
 
Mkuu Dangote nakuomba uje uinunue na Yanga yangu kwani timu yangu inahitaji watu wenye dira na maono ya kisoka kama wewe.
Karibu Yanga karibu jangwani.
 
Last edited by a moderator:
Acha UONGO na uoga. Na wewe ni Binadamu kama wao. Tena kitandani UNAWAZIDI sana tu na Kamguu ka Mtoto kako.

Wameuza Airport, itakuwa timu ya Arsenal? Tena timu yenyewe uwanja wanauita Emirates.....

[h=1]Adebayo Ogunlesi, owner of Gatwick Airport[/h]


Wazungu hawatakuwa tayari kumuuzia Muafrica timu.. It'll be shame to them..

Hawa watu sio binadamu wenzetu kabisa, wana roho za ajabu sana..
 
Last edited by a moderator:
Najua ni mfanyabiashara anayehitaji faida, lakini naona kama angenunua tu klabu moja katika nchi yoyote AFRIKA na aipaishe, mbona TP Mazembe wameweza kupitia yule tajiri Katumba(kama sijakosea jina), Waafrika tujaribu kuvipaisha vya kwetu kwanza.
 
Acha UONGO na uoga. Na wewe ni Binadamu kama wao. Tena kitandani UNAWAZIDI sana tu na Kamguu ka Mtoto kako.

Wameuza Airport, itakuwa timu ya Arsenal? Tena timu yenyewe uwanja wanauita Emirates.....

Adebayo Ogunlesi, owner of Gatwick Airport




teh teh teh hapo kwenye red mkuu inaelekea unanijua sana..

Anyway ngoja tusubiri lakini sioni kama itatokea.. Hivi yule Mtanzania aliyetaka kununua Liverpool ilikuwa kweli au uzushi?? iliishia wapi??
 
Last edited by a moderator:
Najua ni mfanyabiashara anayehitaji faida, lakini naona kama angenunua tu klabu moja katika nchi yoyote AFRIKA na aipaishe, mbona TP Mazembe wameweza kupitia yule tajiri Katumba(kama sijakosea jina), Waafrika tujaribu kuvipaisha vya kwetu kwanza.

Yap, ni Moyes Katumba!
 
Hehehee, Mkuu mie niko huku Shamba Sikonge, ntakujulia wapi? Nyie watu wa mijini bana.

Ila nilikaa sana na hawa watu miaka hizoo niko shule kwenye nchi zao na nikagundua kitu kimoja:

1. Kama Mwaafrica akienda kitandani na kuonekana dhaifu kwa stamina na ukubwa, wanakushangaa.

2. Mudhugu akionekana na stamina kubwa na na kiguu cha Mtoto, wanamshangaa.

Hivyo, kwa Mpingo kuwa na Kibamia, ni sheedah Mwana wane huko majuu.

Yeye Dangote akija na offer nzuri, jamaa watachukua. Au anaweza kuinunua hata timu nyingine na kuifanya Chelsea mpya. Watu wa Ulaya wana shida na fedha siku hizi, ukiwaletea ngawila za kueleweka, Mguu pande haraka sana.

teh teh teh hapo kwenye red mkuu inaelekea unanijua sana..

Anyway ngoja tusubiri lakini sioni kama itatokea.. Hivi yule Mtanzania aliyetaka kununua Liverpool ilikuwa kweli au uzushi?? iliishia wapi??
 
hivi kwa hali ilivyo #SIMBA na #YANGA zinaweza kununuliwa kwa watu wanao waweka .

laiti kama timu zote za VPL zingekuwa kama AZAM kila timu iwe na mmiliki wake basi soka letu lingekuwa mbali sana


ila na namkalibisha DANGOTE mwana ARSENAL mwenzangu
 
Wazungu hawatakuwa tayari kumuuzia Muafrica timu.. It'll be shame to them..

Hawa watu sio binadamu wenzetu kabisa, wana roho za ajabu sana..

Mohamed El Fayeed anamiliki Fulham, na ni mtu kutoka Libya...
 
Kama anahela kweli ajaribu kuinunua Manchester Utd
 
Akina mzee Akilimali uwaweke wapi?? wakati hilo ndilo shamba lao!!

Mbona mzee aKILI MALI a.k.a Abramovic ukimunulia sofa zenye rangi nyekundu tu tayari ume mmaliza kwani yeye aliiisha sema kuwa furaha yake ni kumkalia mbaya wako, na ndo maana hata nyumbani kwake kaweka kapeti na sofa zenye rangi nyekundu kwa nia kukomoa .na hivyo nafsi yake hutulia.
Pg.24%5B1%5D.JPG
maji.jpg
yahaya+akilimali.jpg
 
Mimi nataka kuinunua ASTON VILLA na niifanye iwe tajiri na yenye mafanikio makubwa kuliko vilabu vyote vya ulaya
 
Hehehee, Mkuu mie niko huku Shamba Sikonge, ntakujulia wapi? Nyie watu wa mijini bana.

Ila nilikaa sana na hawa watu miaka hizoo niko shule kwenye nchi zao na nikagundua kitu kimoja:

1. Kama Mwaafrica akienda kitandani na kuonekana dhaifu kwa stamina na ukubwa, wanakushangaa.

2. Mudhugu akionekana na stamina kubwa na na kiguu cha Mtoto, wanamshangaa.

Hivyo, kwa Mpingo kuwa na Kibamia, ni sheedah Mwana wane huko majuu.

Yeye Dangote akija na offer nzuri, jamaa watachukua. Au anaweza kuinunua hata timu nyingine na kuifanya Chelsea mpya. Watu wa Ulaya wana shida na fedha siku hizi, ukiwaletea ngawila za kueleweka, Mguu pande haraka sana.

Ila Mkuu kwanini asinunue promising team kama SOTON au Spurs na kumwaga michele hapo kama Abromavic alivyofanya.. Nadhani hiyo ndio ingemtangaza zaidi kuliko kuinunua Arsenal.. He'll never be bigger than Arsenal kama Abromavic alivyo bigger than Chelsea..
 
Back
Top Bottom