Hellow!
Nimewahi kumsikiza Mh Mbowe akisema kuwa amewekeza pesa nyingi ndani ya chama,
Nimesoma pia utetezi wa Yeriko Nyerere kumhusu Mkt Mbowe kuwa bila utajiri wa Mbowe na msimamo wake, CHADEMA ingeshajifia chini ya utawala wa Magu.
Swali: Ikiwa tunataka mrithi wa Mbowe Kwa nafasi ya Mkt, ni pesa kiasi Gani angehitaji kulipwa zilizo kwenye maandishi Ili aachie chama kijiendeshe kitaasisi nje ya usimamizi wake?
Karibuni 🙏
Nimewahi kumsikiza Mh Mbowe akisema kuwa amewekeza pesa nyingi ndani ya chama,
Nimesoma pia utetezi wa Yeriko Nyerere kumhusu Mkt Mbowe kuwa bila utajiri wa Mbowe na msimamo wake, CHADEMA ingeshajifia chini ya utawala wa Magu.
Swali: Ikiwa tunataka mrithi wa Mbowe Kwa nafasi ya Mkt, ni pesa kiasi Gani angehitaji kulipwa zilizo kwenye maandishi Ili aachie chama kijiendeshe kitaasisi nje ya usimamizi wake?
Karibuni 🙏