Bilionea Mbowe, amewekeza Bei Gani sisizo na maandishi CHADEMA?

Bilionea Mbowe, amewekeza Bei Gani sisizo na maandishi CHADEMA?

No Mbowe is a blessing from God. Anajiweza kiuchumi na ana msimamo. SI rahisi kwa Africa kupata hiyo kwa mtu MMOJA.
Sasa unaeza Kuta ana hela ila anategemea kubebea na serikali kwenye biashara zake Au ana msimamo ila Hana hela so anakuwa na bei elekezi.
Chadema ilipofikia Mbowe kwa Sasa ndio njia na ndio jibu.


Mawazo mfu sana haya aisee,Mbowe Kawa kama bigijii iliyoisha utamu,HANA MVUTO TENA!(yeye mwenyewe anajua hili)
Options ziko mbili tuuu,kumpa lissu uwenyekiti au CHADEMA ife kifo cha Mende!huko kwingine mtazunguka sana😋😋

God bless JMK.
 
Eti bei elekezi, mbona kila siku anaenda kuelekezwa Ikulu, usiwaone wabongo mafala.
CDM ilishajifia 2015 kilichobaki ni kikoba Cha kulamba ruzuku.
Hata kuwe na mabadiliko ya tume huru kwenye uchaguzi mkuu hamtoboi kamwe na hamtakaa mtoboe kwa sababu mnawaona wabongo wajinga kumbe wanawachora tuu.
Sawa. I can not expect a different reaction. Uweni Chadema ili iwatoke hio kitu.
 
Mawazo mfu sana haya aisee,Mbowe Kawa kama bigijii iliyoisha utamu,HANA MVUTO TENA!(yeye mwenyewe anajua hili)
Options ziko mbili tuuu,kumpa lissu uwenyekiti au CHADEMA ife kifo cha Mende!huko kwingine mtazunguka sana😋😋

God bless JMK.
Sawa. I can not expect a different reaction. Uweni Chadema ili iwatoke hio kitu.
 
Hivi kuna watu bado wanaichukulia Chadema seriously? Mara yangu ys mwisho kufuatilia mambo ya Chadema ilikuwa 2015.
kwahiyo tumaini lako liko Kwa ccm au nawe umemwachia mungu! sio muda wa kukatishana tamaa inatakiwa vijana tuwe na shauku ya kusonga mbele kama taifa! mfano mzuri tuangalie kiu ya vijana wakenya kuhusu masuala ya taifa lao wanavokuwa makini! sisi watanzania shida yetu ndo hiyo kukubali kila kitu tuuuu!??
 
kwahiyo tumaini lako liko Kwa ccm au nawe umemwachia mungu! sio muda wa kukatishana tamaa inatakiwa vijana tuwe na shauku ya kusonga mbele kama taifa! mfano mzuri tuangalie kiu ya vijana wakenya kuhusu masuala ya taifa lao wanavokuwa makini! sisi watanzania shida yetu ndo hiyo kukubali kila kitu tuuuu!??
We toka asubuhi hadi jioni unaishi na kushiba kwa chadema au kwa ccm? Mnawapa nguvu sana wanasiasa na vyama vya siasa kuliko inavyopaswa. Wanyanganye hizo power, take back your power kama raia.
 
Machawa wa Mbowe wanajibu hoja za lisu kiboya sana
Mbowe kawaingiza chaka hawako upande wenye hoja, mtu kawa mwenyekiti miaka 21 atakuwa na hoja gani mpya kukushawishi kwamba ana jipya tena la kuendeleza chama??.
Mbaya zaidi toka atoke jela kawa mlamba asali kalegea kwa Samia kama mlenda!.
 
Hellow!

Nimewahi kumsikiza Mh Mbowe akisema kuwa amewekeza pesa nyingi ndani ya chama,

Nimesoma pia utetezi wa Yeriko Nyerere kumhusu Mkt Mbowe kuwa bila utajiri wa Mbowe na msimamo wake, CHADEMA ingeshajifia chini ya utawala wa Magu.

Swali: Ikiwa tunataka mrithi wa Mbowe Kwa nafasi ya Mkt, ni pesa kiasi Gani angehitaji kulipwa zilizo kwenye maandishi Ili aachie chama kijiendeshe kitaasisi nje ya usimamizi wake?

Karibuni 🙏
🤣🤣🤣🤣🤣 MBOWE Msanii sana, utafikiri hapokei mamilioni ya Ruzuku....na hafikishi majimboni na mikoani
 
Watu WANASHINDWA KUELEWA KUWA kiongozi wa chama KIKUU Cha upinzani anatakiwa awe fiti sana economically pamoja na msimamo mkali ili asiwe na bei elekezi.

CCM wanafurahia hii hali na Wananchi wajinga WANASHINDWA kujua kuwa tunahitaji upinzani imara ili nchi isonge.... Bila upinzani imara wezi serikalini wanaendelea kunyonya na mrija bila wasiwasi kuwa Kuna atakaewasanua Wananchi...

Sasa wajinga wanafurahia wakiona NCCR, TLP, CAF na hivi vyama vya akina Dovutwa na Mzee wa ubwabwa vikiwa dhaifu na wanataka CHADEMA nayo ielekee huko.

Kama mtu huna hela, hutafuti hela na huna mipango madhubuti ya kupata hela unaona ili Nini.??? Nani atamlisha mkeo??? Tundu lissu hajafika mahali pa kuweza kuendesha chama na anatumika na maadui kuibomoa chadema.
Ingekuwa hivyo asingepokea Ruzuku
 
Back
Top Bottom