Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,930
- 2,565
Akiongea kwa kujiamini,bilionea Mengi leo wakati akikabidhi zawadi kwa washindi wa shindano la ujasiliamali,ametoa darala na kujibu hoja ya waziri Muhongo kwamba wafanyabiashara wa tanzania hawana uwezo wa kuwekeza kwenye mafuta.
Akijibu hoja hiyo kwa kujiamini na kicheko cha kuonyesha kuwa waziri hakuwa na tafsiri sahihi ya neno mtaji alisema, "mtaji si pesa pekee,bali pesa ni sehemu ya mtaji. Kikubwa ni wazo na fursa ya rasilimali tulizonazo ambazo tunaweza kuzitumia kama mtaji wa kuingia ubia na wawekezaji wakubwa"
Wakichangia washindi wa ujasiliamali walisema mafanikio yao hayajatokana na fedha,bali wazo ndo lilileta fedha. Mtazamo huu wa Mengi unawiana na ule wa rais mstaafu wa awamu ya tatu ambapo alihanikiza kauli mbiu ya "mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe" na kudiriki kumzawadia mtaji mlemavu aliye beba ujumbe huu. Nawasilisha...
Akijibu hoja hiyo kwa kujiamini na kicheko cha kuonyesha kuwa waziri hakuwa na tafsiri sahihi ya neno mtaji alisema, "mtaji si pesa pekee,bali pesa ni sehemu ya mtaji. Kikubwa ni wazo na fursa ya rasilimali tulizonazo ambazo tunaweza kuzitumia kama mtaji wa kuingia ubia na wawekezaji wakubwa"
Wakichangia washindi wa ujasiliamali walisema mafanikio yao hayajatokana na fedha,bali wazo ndo lilileta fedha. Mtazamo huu wa Mengi unawiana na ule wa rais mstaafu wa awamu ya tatu ambapo alihanikiza kauli mbiu ya "mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe" na kudiriki kumzawadia mtaji mlemavu aliye beba ujumbe huu. Nawasilisha...