Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataitoa kwa misingi gani? Mitambo haitoki ni mali ya serikali,arudishe fedha zetu,kama kanunua kampuni ya IPTL iweje ile fedha ya escrow awagawie watu bure tu? Vyombo vya Usalama mkamateni huyo mshenzi habinder.
hebu jaribu kutumia lugha vizuri sio unaandika tu kisa unajisikia hata kama unahasira
Mazee naona mnatukan tukana tu, hiyo bei ya umeme ikipanda ndo mtamkumbuka huyo singasinga. Alikuwa anatoza unit moja kwa senti chache nimesahau, rumours has ni cheapest price ya umeme in africa.
Mitambo unadai ni mali ya serikali!? unachekesha! sasa nani aliileta na kuifunga pale? Kama ni ya serikali kwa nini TANESCO bado inauziwa umeme huo!? kama ni ya serikali nani anawalipa wafanyakazi wa IPTL? Kiwanja ilipofungwa hapo tegeta ni mali ya nani? Hebu muwe na facts na sio jazba.
Mazee naona mnatukan tukana tu, hiyo bei ya umeme ikipanda ndo mtamkumbuka huyo singasinga. Alikuwa anatoza unit moja kwa senti chache nimesahau, rumours has ni cheapest price ya umeme in africa.
Mitambo unadai ni mali ya serikali!? unachekesha! sasa nani aliileta na kuifunga pale? Kama ni ya serikali kwa nini TANESCO bado inauziwa umeme huo!? kama ni ya serikali nani anawalipa wafanyakazi wa IPTL? Kiwanja ilipofungwa hapo tegeta ni mali ya nani? Hebu muwe na facts na sio jazba.