M mid 20s Member Joined Mar 19, 2016 Posts 62 Reaction score 37 Dec 16, 2020 #21 Smart911 said: Mdogo mdogo ndiyo mwendo... Cc: mahondaw Click to expand... Tatizo wa Iran watata sana Cc😡 mahondaw
Smart911 said: Mdogo mdogo ndiyo mwendo... Cc: mahondaw Click to expand... Tatizo wa Iran watata sana Cc😡 mahondaw
Mokaze JF-Expert Member Joined Aug 3, 2018 Posts 14,370 Reaction score 14,929 Dec 16, 2020 #22 Nguseroh said: Siyo Iran mkuu. Ni kile kifungu kwenye bibilia takatifu UKIMBARIKI, KUMPENDA NA KUMUUNGA MKONO ISRAEL UTABARIKIWA KINYUME NA HAPO UTALAANIWA Click to expand... Wewe, kumbuka kuna Israeli, nchi ya Israeli na wana wa Israeli, hivyo ni vitu vitatu tofauti vinavyohusiana sasa unapoandika jambo hili ni lazima uzingatia maana ya kila neno. Israeli, nchi ya Israeli na wana wa Israeli.
Nguseroh said: Siyo Iran mkuu. Ni kile kifungu kwenye bibilia takatifu UKIMBARIKI, KUMPENDA NA KUMUUNGA MKONO ISRAEL UTABARIKIWA KINYUME NA HAPO UTALAANIWA Click to expand... Wewe, kumbuka kuna Israeli, nchi ya Israeli na wana wa Israeli, hivyo ni vitu vitatu tofauti vinavyohusiana sasa unapoandika jambo hili ni lazima uzingatia maana ya kila neno. Israeli, nchi ya Israeli na wana wa Israeli.
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,569 Reaction score 24,812 Dec 21, 2020 #23 Magufuli atoe tamko juu ya hili.