Bilionea wa Nigeria amezikwa na gari mpya BMW lenye dhamani ya shilingi milion 800 mwaka 2018

Bilionea wa Nigeria amezikwa na gari mpya BMW lenye dhamani ya shilingi milion 800 mwaka 2018

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Bilionea WA Nigeria amezikwa na Gari mpya Bmw lenye dhamani ya shilingi milion 800 .. Mazishi ayo ya kufuru yamefanywa na Rafiki zake aliokua akifanya nao biashara kabla hajapata umauti..

FB_IMG_1723917903918.jpg
===
A Nigerian man has recently buried his father in a brand new BMW, instead of a coffin, according to various reports.

Man named Azubuike is a resident of a remote village in Mbosi, Nigeria. In a photo which has been trending on social media for the last two days, pallbearers are seen lowering the luxury car into a huge grave.

The grave, which was around 6 feet deep, was reportedly dug by the locals to help the grieving son.
 
Bilionea WA Nigeria amezikwa na Gari mpya Bmw lenye dhamani ya shilingi milion 800 .. Mazishi ayo ya kufuru yamefanywa na Rafiki zake aliokua akifanya nao biashara kabla hajapata umauti..

View attachment 3072841
Wanaina wana mbwembwe... Sema waarab kwenye mazishi hawana mnwembwe niliona kaburi la yule sijui alikuwa mfalme wa jordan alifariki mwaka jana sijui juzi yani kipande cha ardhi tu kama kawaida no mbwembwe wala kujengewa
 
Back
Top Bottom