Bilionea wa Nigeria amezikwa na gari mpya BMW lenye dhamani ya shilingi milion 800 mwaka 2018

Bilionea wa Nigeria amezikwa na gari mpya BMW lenye dhamani ya shilingi milion 800 mwaka 2018

Wanaina wana mbwembwe... Sema waarab kwenye mazishi hawana mnwembwe niliona kaburi la yule sijui alikuwa mfalme wa jordan alifariki mwaka jana sijui juzi yani kipande cha ardhi tu kama kawaida no mbwembwe wala kujengewa
Ukweli ni kwamba hakuna maisha baada ya haya ila ishi vizuri [emoji846] wao wanajuwa
 
Bilionea WA Nigeria amezikwa na Gari mpya Bmw lenye dhamani ya shilingi milion 800 .. Mazishi ayo ya kufuru yamefanywa na Rafiki zake aliokua akifanya nao biashara kabla hajapata umauti..

===
A Nigerian man has recently buried his father in a brand new BMW, instead of a coffin, according to various reports.

Man named Azubuike is a resident of a remote village in Mbosi, Nigeria. In a photo which has been trending on social media for the last two days, pallbearers are seen lowering the luxury car into a huge grave.

The grave, which was around 6 feet deep, was reportedly dug by the locals to help the grieving son.
Ni bilionea mwenyewe au baba yake?? Msipende kutulisha matango pori
 
Back
Top Bottom