Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Ndugu Msanii ,hakuna uhusiano kati ya kuwa muadilifu na kuwa masikini.
Wengi tu ni waadilifu lakini Mungu amewajalia kutoka kwenye umasikini kihalali kabisa.
Kwa kweli ni ndugu Msanii 😆😆 wengi wanapenda kujificha kwenye kichała cha kusema Eti uadilifu kanakwamba walofanikiwa hadi wajukuu wote ni wezi ?! 😀😅
Mbavu kabisa!