Bilionea Wilfred Tarimo Apewa tuzo ya mlipa Kodi mkubwa

Ndugu Msanii ,hakuna uhusiano kati ya kuwa muadilifu na kuwa masikini.

Wengi tu ni waadilifu lakini Mungu amewajalia kutoka kwenye umasikini kihalali kabisa.


Kwa kweli ni ndugu Msanii ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† wengi wanapenda kujificha kwenye kichaล‚a cha kusema Eti uadilifu kanakwamba walofanikiwa hadi wajukuu wote ni wezi ?! ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜…
Mbavu kabisa!
 
Aise!
 
!
Hapana,
hakupaswa kiwa na only one stream of income (salary)
Alipaswa kujiongeza.
Alipaswa kuwa na multiple of streams of income.

Kuanzia Leo utaacha hiyo excuse wewe na yeye?! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Kodi yenyewe inasimamiwa na Mwigulu ambaye kabla hajawa Kiongozi hakuwa anamiliki biashara yeyote....

Elewa mantiki๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ