Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
CDM ni chama cha ukombozi kwa watanzania.Nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CDM ni chama cha ukombozi kwa watanzania.Nzuri sana
Asante sana kwa ushauri mzuri sana kwa maendeleo ya CDM na taifa kwa ujumlaAisee, sasa kama mtu anapewa ulanzi, chumvi au kiberiti kisha yeye anatoa kura mtu kama huyu ukimueleza mambo ya katiba mpya ataanzia wapi kukuelewa?
CHADEMA inabidi mjitafakari sana kwenye agenda za vipaumbele vyenu ili mrudi kwenye ile nafasi yenu ya 'upinzani imara' na ikiwezekana muiondoe CCM madarakani
Kwahiyo wewe unayevuta bangi siyo binadamu?Huyu naye anachafua jina la ukoo wa Mungai, mijitu inayovuta bangi hovyo kabisa
Hayambona kama vile kulikua hakuna uchaguzi hapo kamanda 🐒
Alichofauru ni kuwaibia abiria kwenye vituo vya daladalaWewe usiyevuta bangi umeshafanya nini cha maana kwa maisha yako na taifa?
HayaNasikia upo kwa mganga umefungwa kamba!
Mlevi wa ulanzi humwambii kitu juu ya madai ya katiba mpyaHivyo viberiti na chumvi makasha yake yana picha za Lukuvi
Wewe na ukoo wa panya ndiyo hamnazo kabisa.Mzee Mungai ni Mkikuyu. Alitumika sana na Wakenya kuua elimu Tanzania. Hadi leo watu wanasaka ilipo kaburi lake wacharaze viboko. Halafu mnatuletea vinasaba vyake. Chadema hamnazo kabisa
Mfahamishe huyo kwangu pakavu tia mchuzi wa ccmKenya shule za serikali hazipo vizuri kihivyo shule bora Kenya ni zile za private tu.
CCM ni chaka la watu wa hovyo kama weweHongera Kwa Mbowe Kwa Ushindi wa Mungai team Mbowe na pole Kwa Lisu na team yake kushindwa kutwaa hicho kiti cha uenyekiti
Ulanzi hilo ndio eneo lako umeguswa umekuja kwa haraka!Mlevi wa ulanzi humwambii kitu juu ya madai ya katiba mpya
Huyu tajiri alihonga shilingi ngapi kuupata huo uwenyekiti?
Mungai Tajiri ambaye ni Mfanyabiashara mwenye Mafanikio Makubwa Wilaya Mafinga,Tanzania na Kimataifa, amechaguliwa tena kuongoza Chadema Mkoa wa Iringa.
Huyu Jamaa ndio alishirikiana na Mchungaji Msigwa na Patrick Ole Sosopi kuua CCM Iringa yote, Safari hii ameahidi kumstaafisha siasa William Lukuvi, Rushwa ya Ulanzi, Viberiti na Chumvi haitapata nafasi msimu huu
Taarifa zaidi zinakuja
Tulia wewe!Ulanzi hilo ndio eneo lako umeguswa umekuja kwa haraka!
Kuna uzi wa luka nimekuita hukuja umekuja huku kwenye ulanzi vipi uwekewe simbilisi au utakula makongoro ya bobi!Tulia wewe!
ubavu huo hawana chademaLukuvi kwa heshima astaafu siasa za jimboni. Jimbo amuachie kijana wa chama chake wachuane na huyu mwenyekiti wa CHADEMA uchaguzi mkuu ujao.
CHADEMA kwa mwendo wao huo mpya watarudi bungeni kwa wingi wa rekodi mpya za kuchukua majiji na miji mikuu. Safari hii watembee sana mpaka vijijini iliko CCM