Pre GE2025 Bilionea William Mungai ashinda Uenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Asante sana kwa ushauri mzuri sana kwa maendeleo ya CDM na taifa kwa ujumla
 
Huyu naye anachafua jina la ukoo wa Mungai, mijitu inayovuta bangi hovyo kabisa
Kwahiyo wewe unayevuta bangi siyo binadamu?
Au kwakuwa bangi ishakutoa akili unajiona upo sahihi?
 
Mzee Mungai ni Mkikuyu. Alitumika sana na Wakenya kuua elimu Tanzania. Hadi leo watu wanasaka ilipo kaburi lake wacharaze viboko. Halafu mnatuletea vinasaba vyake. Chadema hamnazo kabisa
Wewe na ukoo wa panya ndiyo hamnazo kabisa.
Sasa hapo unawezaje kuwatipia lawama CDM wakati serikali yenu ndiyo mnaajiri wahamiaji haramu?
 
Huyu tajiri alihonga shilingi ngapi kuupata huo uwenyekiti?
 
ubavu huo hawana chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…