mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Ndio maana nasema haya umeshinda lakini watu wanapita Simba ilikuwepo na itaendelea kuwepo.1)anaitumia kibiashara ni kweli lazima apate faida
2)51 si kitu hakuna mahali nimesema hivo
3)vikombe kidogo..hii ndio sole responsibility ya timu kwa mashabiki
4)long run..unabase predictions zako kwenye assumptions za upande mmoja na kulazimisha kua lazima itakua hivyo..je kama isipokua kama unavyowaza?je kama huu ndio mwanzo wa simba kuanza football monopoly??maana kwa sasa obviously hakuna timu yenye angalau kimfumo na usimamizi zaidi ya simba..cha msingi wawekeze kwa mashabiki tu sasa ili at one point Simba iweze kuzalisha faida bila kutegemea maingizo ya pesa za nje ili ikihitajika wafanye kuongeza uwekezaji tu ila sio kwamba ni lazima..na hii naomba hata kwa yanga ili soka liwe competitive