Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Serikali imeidhinisha matengenezo ya barabara za Mkoa wa Mara kwa jumla ya shilingi Bilioni 42.166 kwa mwaka wa fedha 2024-2025.
Kauli hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi katika kikao cha bodi ya barabara mkoani humo ambapo amewataka watumishi wa taasisi zinazohusika na barabara kwenda kusimamia ipasavyo barabara hizo na kufanya matengenezo mapema yanapohotajika.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mtambi amesema yapo maeneo ambayo yamekuwa yakitokea hitilafu lakini matengenezo yake yamekuwa yakichukua muda mrefu hali inayopelekea msumbufu kwa watumiaji wa barabara.
Kauli hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi katika kikao cha bodi ya barabara mkoani humo ambapo amewataka watumishi wa taasisi zinazohusika na barabara kwenda kusimamia ipasavyo barabara hizo na kufanya matengenezo mapema yanapohotajika.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mtambi amesema yapo maeneo ambayo yamekuwa yakitokea hitilafu lakini matengenezo yake yamekuwa yakichukua muda mrefu hali inayopelekea msumbufu kwa watumiaji wa barabara.