Bilioni 5 kutekeleza Miradi ya Maji Jimbo la Ngara, Kagera

Bilioni 5 kutekeleza Miradi ya Maji Jimbo la Ngara, Kagera

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MIRADI MIPYA YA MAJI JIMBO LA NGARA, KAGERA

Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza na kutoa Shilingi Bilioni 3 Jimbo la Ngara kwaajili ya kujenga miundombinu bora ya Maji Safi na Salama.

Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amesema Wananchi wa Jimbo la Ngara Mkoa wa Kagera wanamushukuru sana kwa kuendelea kuwaona kwani mpaka sasa Miradi 5 imesainiwa na Wakandarasi wapo njiani kufika Jimboni ili kuendelea na ujenzi.

#MajiMpakaVijijini
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-05-20 at 12.47.51.jpeg
    WhatsApp Image 2023-05-20 at 12.47.51.jpeg
    65.4 KB · Views: 6
Back
Top Bottom