Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema!!!!!yaani serikali inapoteza pesa zote hizo kwa masai?
Hivi unafahamu faida ya uhifadhi? Kwa ongezeko la watu na mifugo , siku moja kizazi kijacho kinaweza kutulaani.Kilomita 80+ za barabara ya lami... Kama ingewekwa kwenye mafuta hakika walalahoi tungepata nafuu
Swali la msingi sana hili. Hawa jamaa siku ya kulipa itakapofikia wasijesema wanaonewa sababu watalipa every dime wanayochukua.Nusu ya hiyo pesa itagawanwa na watawala, huo nao ni mradi kama miradi mingine watu watapiga pesa ndefu, kama wana hama kwa hiari hiyo budget ya kuwahamisha imetoka wapi na ilipitishwa na bunge lipi?
Hii nchi imejaa matapeli tupuSwali la msingi sana hili. Hawa jamaa siku ya kulipa itakapofikia wasijesema wanaonewa sababu watalipa every dime wanayochukua.