Rashford Lingard
JF-Expert Member
- Feb 9, 2018
- 938
- 1,150
LIGI KUU YAPATA MDHAMINI:
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom wamesaini Mkataba wa miaka 3 wa Udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Mkataba huo unathamani ya shilingi bilioni 9 ambapo kila mwaka shilingi bilioni 3.
Je hii itaongeza ushindani?
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom wamesaini Mkataba wa miaka 3 wa Udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Mkataba huo unathamani ya shilingi bilioni 9 ambapo kila mwaka shilingi bilioni 3.
Je hii itaongeza ushindani?