Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Mahakama ya Pennsylvania nchini Marekani imemshushia mvua ya kifungo cha kati ya miaka mitatu hadi kumi, mchekeshaji Bill Cosby mwenye umri wa mika 81, baada ya kumkuta na hatia ya kufanya unyanyasaji wa kingono na ubakaji dhidi ya msichana, miaka 14 iliyopita.
Jaji wa mahakama hiyo amesema Cosby amekutwa na hatia katika makosa matatu aliyoyafanya mwaka 2004, akimnyanyasa kingono na kumbaka msichana aliyetajwa kwa jina la Andrea Constand.
Mahakama pia imeamuru Cosby kusajiliwa kwenye orodha ya wanyanyasaji wa kingono na kwamba anapaswa kuhudhuria programu maalum ya kisaikolojia kwa kipindi cha maisha yake yote.
Kwa mujibu wa hukumu iliyosomwa mahakamani hapo, Cosby alimualika msichana huyo nyumbani kwake, kisha akamuwekea vidonge vya dawa za kulevya kwenye kinywaji chake kabla ya kuanza kumuingilia kwanza kwa kutumia vidole vyake.
Msichana Andrea Constand, alieleza kuwa kitendo hicho kilimtoa usichana wake, kumsababishia maumivu makali pamoja na matatizo makubwa ya kisaikolojia.
www.jamiiforums.com
Jaji wa mahakama hiyo amesema Cosby amekutwa na hatia katika makosa matatu aliyoyafanya mwaka 2004, akimnyanyasa kingono na kumbaka msichana aliyetajwa kwa jina la Andrea Constand.
Mahakama pia imeamuru Cosby kusajiliwa kwenye orodha ya wanyanyasaji wa kingono na kwamba anapaswa kuhudhuria programu maalum ya kisaikolojia kwa kipindi cha maisha yake yote.
Kwa mujibu wa hukumu iliyosomwa mahakamani hapo, Cosby alimualika msichana huyo nyumbani kwake, kisha akamuwekea vidonge vya dawa za kulevya kwenye kinywaji chake kabla ya kuanza kumuingilia kwanza kwa kutumia vidole vyake.
Msichana Andrea Constand, alieleza kuwa kitendo hicho kilimtoa usichana wake, kumsababishia maumivu makali pamoja na matatizo makubwa ya kisaikolojia.
Bill Cosby kutolewa jela na makosa yake yamefutwa
Supreme Court wamefuta makosa ya Cosby ,makosa yake ya likuwa political motivated .Me too movement .God is good === Media captionWatch: The moment Bill Cosby leaves prison US comedian Bill Cosby has left prison hours after his sexual assault conviction was overturned by Pennsylvania's Supreme...