Bill gates ala wali maharage

Sometimes intervene for funny [emoji14][emoji14][emoji126][emoji126]
 
Haya sasa yeye kala wali maharage wewe uku huna ata hela kula chips na mayai mara kuku wakati mfukoni huna kitu
NB:billgates akila wali maharage na wanafunzi wa kicheba primary school uko muheza


Mungu Ni Mwema

Tofuti hipo tena kunwa sana
Yeye kala kuonyesha Support
Yeye kala kuonyesha Dunia anajitoa na yupo sawa na wengine
Yeye kala labda kwa sababu anataka kujaribu chakula kipya

Wewe unakula kwa dhiki, Shida, Kutojiweza nk
 
Wazungu wanalima mpunga na maharage hivyo ni moja ya chakula chao hivyo Bill Gates kula wali maharage sio habari.
 
Kama alikula huo wali kweli, basi litakuwa fundisho zuri. Hata hivyo Nina Mashaka kama aliweka mdomoni hata kijiko kimoja cha wali THEN akatafuna na kumeza (nipo tayari kukosolewa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa je!jamaa katengeneza maji ya mavi na anakunywa iweje ashindwe wali maharage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…