Bill Gates had a video game created for microsoft windows called ‘omikron’

Get a life you dimwit.
 
inategemea na uwezo wako wa kuchanganua mambo pengine ndiyo mwisho wako wa kufikili;
Bro sio kila kinachoandikwa kwenye mtandao ni sahihi. Usijione wewe una akili saaaaana ati kwa sababu unaamini vitu vya kijingajinga tu. Wewe umetumia akili ipi ya ziada kama sio kulishwa tango pori na mwandishi wa asili wa hiyo makala? Unajua miongozo ya kutoa jina kwa ugonjwa au mdudu kwa mujibu wa WHO? Au ulitaka mgunduzi atoe jina la kipara20 ?
 
Umesoma kilichoandikwa?
 


Then what do you wanna tell us??!----Omikron and Omicron, the former is a name of video game pkay and the latter is a name of covid strain variant.
 
Then what do you wanna tell us??!----Omikron and Omicron, the former is a name of video game pkay and the latter is a name of covid strain variant.
Umeshindwa kabisa to connect the dots brother.
 

My friend, you better take a break from all this weird stuff on Covid 19 - for your precious health.
 

Hata ulichoandika hapa ni “planned & programmed”. Haikutokea kwa bahati mbaya. Hakuna utakachoweza kubadili, kuongeza wala kupunguza kwa kuunganisha dots. It’s all preset. Hakuna haja ya kujisumbua.
 
Umeshindwa kabisa to connect the dots brother.


Swali ni hili; nani aliamua kuvipa jina hilo (Omikron na sio Omicron) hivyo virusi na kwanini jina hilo na je kuna mahusiano yoyote kati ya majina hayo ??--- ukipata hayo majibu ndipo unaweza ku deduct something vinginevyo tuhuma tu bila ushahidi wa kutosha sio uadilifu.
 
Umeshindwa kabisa to connect the dots brother.
MiTanzania mingi ni mijinga na misaliti

Achana nao kama wanakufa waache wafe huwezi kuwatoa huko kila anayepinga wanasema ni conspiracy kwanini hiyo conspiracy isiwe wao?

Tumia ufahamu wako na uelewa na akili yako kuishi maisha yako

Hata Yesu alitenda miujiza akafufua watu lakini bado wakamtundika msalabani

Waache wafe kwa ujinga wao

Wewe endelea na maisha yako na huna cha kupoteza
 
Hilo gemu la bill gate umelielewa?
Acha uzwazwa wewe.
Issue ni uhusiano wa hilo game na hili jina la sasa.
 
kinachinikera kwa Gates ni jinsi alivyowapatia mawazo watengenezaji wa kirusi cha korona kufanya haya wanayotufanyia
 

Tatizo ni kudhani bongo yako inajua kuunganisha dot kumbe, hola!
 
Nimeambiwa hivi kuhusu watu Kama ninyi👉
MiTanzania mingi ni mijinga na misaliti

Achana nao kama wanakufa waache wafe huwezi kuwatoa huko kila anayepinga wanasema ni conspiracy kwanini hiyo conspiracy isiwe wao?

Tumia ufahamu wako na uelewa na akili yako kuishi maisha yako

Hata Yesu alitenda miujiza akafufua watu lakini bado wakamtundika msalabani

Waache wafe kwa ujinga wao

Wewe endelea na maisha yako na huna cha kupoteza👈Je,niwaache kweli mfe?
 
A bunch of bullshit ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…