beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
You have just proved my point ...This is not bullshit,it's you who is the bullshit.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You have just proved my point ...This is not bullshit,it's you who is the bullshit.
Nimeambiwa hivi kuhusu watu Kama ninyi👉
MiTanzania mingi ni mijinga na misaliti
Achana nao kama wanakufa waache wafe huwezi kuwatoa huko kila anayepinga wanasema ni conspiracy kwanini hiyo conspiracy isiwe wao?
Tumia ufahamu wako na uelewa na akili yako kuishi maisha yako
Hata Yesu alitenda miujiza akafufua watu lakini bado wakamtundika msalabani
Waache wafe kwa ujinga wao
Wewe endelea na maisha yako na huna cha kupoteza👈Je,niwaache kweli mfe?
Umeweka focus kwenye maandiko ya conspiracy theories tu.Sio kazi kwangu,mbona nafanya research?
You have either failed to connect the dots betweenUmeweka focus kwenye maandiko ya conspiracy theories tu.
Bila shaka umesoma kuwa Omikron ni mchezo wa computer uliotengenezwa na kampuni binafsi na kuenezwa katika operating systems (DOS) mbalimbali ikiwa ni pamoja na MS Windows, Xbox 360 (MS game console), Sony PlayStation 3, etc. Bill Gates sio mtengenezaji wala mmiliki wa hiyo game.
Sasa sijui hata Sony nao utasema wanahusika na Omikron game.
Hata mm nimeshangaa sana,kirusi kipya tayari jina limejulikana.
🤣🤣My friend, you better take a break from all this weird stuff on Covid 19 - for your precious health.
Hii post ni kwa ajili ya watu wachache sana a ambao bongo zao zinaweza kuunganisha dot.
Ila vichwa maji hawatajishughulisha zaidi utasikia Ni mambo ya kufikiririka.
NB: Hakuna kitu/tukio/jambo linatokea duniani kwa bahati mbaya. Na km linaonekana bahati mbaya imepangwa hivyo lionekane ni bahati mbaya. Kila kitu ni planned, programmed. It's just a matter of time!
... cha kushangaza hapo nini? Mkuu Cvez hapo juu katuwekea nomenclature ya virus vya corona; they are named after Greek alphabets (at least for now); haihitajiki akili yoyote kujua next kitaitwa kwa jina gani. Ni sawa na vimbunga; jina la kimbunga kitakachotokea 2040 tayari lipo kwenye list. Let's be free minded badala ya kutekwa na propaganda uchwara!
Mkuu; jina Omicron limetumika na Bill Gates tu? I don't think so!Kwanini gate alitumia hilo jina kuonesha huyo demons Ana pretend tu be human wakati anavuna roho? Hapa ndipo kitu kilipo ukioanisha na kirusi omicron. Mkuu punguza ujuaji kidogo upate kitu
Hilo jitu ni lishetani labda linajua halitokufa.'I hate him'.... hili neno wanatumia kinadada wakimwagwa.....
mimi mwenyewe namconsider Billgates kama moja kati ya viumbe washenzi sana kupata kutokea duniani waliovaa ngozi ya kondoo...
Unaongea kama Artificial intelligent computer programme, unajiona mwenye akili, kumbe ni left brain personnel, wewe huna tofauti na computer programme tu.Je umeona hayo maswali yangu hapo juu?? Basi kama umeyaona mtumie huyo jamaa aliyekuambia kwamba watu kama mimi ni wajinga na wasaliti. Na ninasubiri majibu na asipojibu basi yeye ndiye mjinga bali zwazwa.
Hivi, kwa mfano akitokea mtu akatunga hadithi ya kubuni inayohusu jini Mathanzua linalonyonya watu damu na kuwaua halafu baada ya hadithi hiyo kusomwa na watu na baada ya kupita miaka kadhaa likatokea jini linaloua watu kwa jinsi hiyo na watu waliosoma ile hadithi wakalipa hili jini jina la Mathansua wakilifananisha na jini Mathanzua, je hapo tunaweza kumuhukumu yule mtunga hadithi ya jini Mathanzua kwamba yeye ndiye ametengeneza hili jini la kweli la Mathansua??, kumbuka hilo jini la hadithi ni Mathanzua na hili la kweli ni Mathansua, tofauti katika majina ni herufi 'z' na 's' na hilo jini la kwanza ni fictious wakati hili la pili ni factual.
Nataka u exercise akili yako na usipende kuburuzwa na kukubali kila kitu bila kupima na kutafakari kwa kina, yawezekana Unachosema kikawa kweli lakini bila proofs huna haki ya kudai ukweli wake na ni bora ukakaa kimya usijekushikwa udanganyifu.
Unaongea kama Artificial intelligent computer programme, unajiona mwenye akili, kumbe ni left brain personnel, wewe huna tofauti na computer programme tu.
Una do so so and so then you press enter, una execute command.
Ndo wewe sasa, reasoning yako ni very poor.
Waache waseme kwamba ni mambo ya kufikirika lakini hawa jamaa wako serious na wanachotaka. Angalia majina yenyewe ya variants ni majina tatanishi mno na yana siri kubwa.
Hilo jitu ni lishetani labda linajua halitokufa.
Unaongea kama Artificial intelligent computer programme, unajiona mwenye akili, kumbe ni left brain personnel, wewe huna tofauti na computer programme tu.
Una do so so and so then you press enter, una execute command.
Ndo wewe sasa, reasoning yako ni very poor.
Ata kama kuna ukweli au hakuna ila ni wazi Utajiri wake unamponza, jamaa anapenda sana kufadhiri project za Afya na teknolojia ndio mara nyingi kunamletea shida, ni kama kina Mo tu pamoja na mazuri mengi anayofanya kwenye jamii ila watu hawaoni watamsema kwa mabaya tuBillgate amekuwa victim sana kwenye conspiracy theories
Braza, we ni tahira!What do I gain by cooking stories about Bill Gates,nothing.It's Bill Gates who stands to gain by staging conspiracies against me and humanity in general,because he is Satans' agent.I afterall do not have the capacity to plan any conspiracy against Bill Gates and Company a.k.a the NWO.
A conspiracy is a secret plan by a group a.k.a The NWO carbal to do something unlawful or harmful.I do not have the capacity to do any unlawful or harmful thing against the NWO!What you imply are stories,not conspiracies.
Mimi sina haja ya kukutukana,ila uko misinformed kiasi fulani.Some of the things you have written are correct.Ila ukweli utatabaki kwamba Bill Gates ni Eugenist kama alivyokuwa baba yake na uko wake.Bill Gates has a reptillian background,kwa hiyo huwezi kumtenganisha na satanic behaviuor.The fact that you believe the WHO or rather any World Organization can do anything good for you is odd and awkward and clearly shows how misinformed you are on who really owns the World.Braza, we ni tahira!
No offense.
Akili yako imesha haribiwa na conspiracy theories, kiasi kwamba unaamini kutoka moyoni huu upuuzi wote unaoandika,
Wadau kama Drifter na wengineyo wamejaribu kukuelekeza,
Hilo game la omikroni, sio wazo la bill gate, wala mali ya Microsoft.Limekua developed na company nyingine tofauti na kuwa realised kwenye OS kadhaa ikiwemo Window au MS-DOS kwa wakati ule.
Na kuhusu kirusi kipya cha uviko kuitwa omicron, ni jinsi gani WHO wamekubaliana ku name instances tofauti tofauti za huyu kirusi
Hakuna dot za ku connect, labda uwe tahira, na sijaona sehemu yoyote uki address hizo hoja zaidi ya ku divert attention kwa kukimbilia kwenye vitu vingine.
Hizo conspiracy theories, hata mimi naweza kuziandika, na nina hakika uta quote article yangu na kuileta hapa
Naweza kuandika conspiracy kuhusu mtu yoyote,na ikaaminiwa na wagonjwa kama wewe.
Hivi hujawahi jiuliza kwanini hizo conspiracy theories hazina mwanzo wala mwisho?
Always zinaanzia kati
Mbona hukuleta uzi wa kutuonya juu ya mpango wa WHO kukipa hiko kirusi jina hilo?, umesubiri wafanye hivyo kwanza?
Mbona hukuleta uzi kuhusu hilo Game la omikroni kabla ya corona?
Wamesubiri coincidence itokee, kisha waka connect two unrelated dots cause kuna matahira kama nyie mtanunua tu.
Kitu gani kinakufanya uamini Bill Gate ndio "Evil guy" na ana mpango mbaya wa kuangamiza dunia nzima, na sio Elon Musk au Jeff bezos ambao ni matajiri kuliko yeye?
Bill gate ni easy target ya conspiracy theorists ambao wanatumia laptop zinazo run Microsoft Windows kuchapisha upumbavu wao, na kwa msaada wa internet ambao Bill na Microsoft wameshiriki kuijenga, ukakufikia wewe.
The reason huo upumbavu ulioandika unafanya kazi kwako,.na utaendelea kufanya kazi mpaka mwisho wako. ni confirmation bias, tayari ushadanganywa na imani yako kuhusu upumbavu wa chapa ya mnyama na dunia moja itakayo tawaliwa na Marekani
So kila aina ya article itakayo ahidi ku confirm imani yako, utaiamini tu
Hakuna chapa ya mnyama, na baada ya miaka 40 ni China na sio Marekani
Nina uzi mpya najiandaa kuuchapisha, "Diamond alikufa kwa ajari Mwaka 2016,na huyu mpya ni clone yake kutoka illuminati, kwa sababu diamond alivunja Masharti ya kutokua na mtoto.
Umeona hapo, mwaka ni 2016?
Unajua namba 9 ni namba ya kafara inayotumiwa na Illuminati?
Connect dot genius, 2+0+1+6 =9????.woow