Bill Gates had a video game created for microsoft windows called ‘omikron’

Bill Gates had a video game created for microsoft windows called ‘omikron’

Nimeambiwa hivi kuhusu watu Kama ninyi👉
MiTanzania mingi ni mijinga na misaliti

Achana nao kama wanakufa waache wafe huwezi kuwatoa huko kila anayepinga wanasema ni conspiracy kwanini hiyo conspiracy isiwe wao?

Tumia ufahamu wako na uelewa na akili yako kuishi maisha yako

Hata Yesu alitenda miujiza akafufua watu lakini bado wakamtundika msalabani

Waache wafe kwa ujinga wao

Wewe endelea na maisha yako na huna cha kupoteza👈Je,niwaache kweli mfe?


Je umeona hayo maswali yangu hapo juu?? Basi kama umeyaona mtumie huyo jamaa aliyekuambia kwamba watu kama mimi ni wajinga na wasaliti. Na ninasubiri majibu na asipojibu basi yeye ndiye mjinga bali zwazwa.

Hivi, kwa mfano akitokea mtu akatunga hadithi ya kubuni inayohusu jini Mathanzua linalonyonya watu damu na kuwaua halafu baada ya hadithi hiyo kusomwa na watu na baada ya kupita miaka kadhaa likatokea jini linaloua watu kwa jinsi hiyo na watu waliosoma ile hadithi wakalipa hili jini jina la Mathansua wakilifananisha na jini Mathanzua, je hapo tunaweza kumuhukumu yule mtunga hadithi ya jini Mathanzua kwamba yeye ndiye ametengeneza hili jini la kweli la Mathansua??, kumbuka hilo jini la hadithi ni Mathanzua na hili la kweli ni Mathansua, tofauti katika majina ni herufi 'z' na 's' na hilo jini la kwanza ni fictious wakati hili la pili ni factual.

Nataka u exercise akili yako na usipende kuburuzwa na kukubali kila kitu bila kupima na kutafakari kwa kina, yawezekana Unachosema kikawa kweli lakini bila proofs huna haki ya kudai ukweli wake na ni bora ukakaa kimya usijekushikwa udanganyifu.
 
Sio kazi kwangu,mbona nafanya research?
Umeweka focus kwenye maandiko ya conspiracy theories tu.

Bila shaka umesoma kuwa Omikron ni mchezo wa computer uliotengenezwa na kampuni binafsi na kuenezwa katika operating systems (DOS) mbalimbali ikiwa ni pamoja na MS Windows, Xbox 360 (MS game console), Sony PlayStation 3, etc. Bill Gates sio mtengenezaji wala mmiliki wa hiyo game.

Sasa sijui hata Sony nao utasema wanahusika na Omikron game.
 
Umeweka focus kwenye maandiko ya conspiracy theories tu.

Bila shaka umesoma kuwa Omikron ni mchezo wa computer uliotengenezwa na kampuni binafsi na kuenezwa katika operating systems (DOS) mbalimbali ikiwa ni pamoja na MS Windows, Xbox 360 (MS game console), Sony PlayStation 3, etc. Bill Gates sio mtengenezaji wala mmiliki wa hiyo game.

Sasa sijui hata Sony nao utasema wanahusika na Omikron game.
You have either failed to connect the dots between
the C-19 so called vaccines,the fake C-19 disease and 5G because you are dumb or purposely do not want to connect the dots because of conflicts of interest.Tendea akili yako na moyo wako haki.
 
Hata mm nimeshangaa sana,kirusi kipya tayari jina limejulikana.


[Ufafanuzi katika lugha ya nursery]

Chief, kirusi hakiibuki kikataja jina:, kwamba mimi naitwa kirusi Abdallah ama kirusi Janet, virusi na vitu vyote sisi binadamu ndiyo tunavipa majina tunayotaka sisi.
Si ajabu Tembo aijui kuwa sisi tunaiita Tembo.

Nb:, conspiracy zinapoteza watu kwa kiwango kikubwa.
 
Hii post ni kwa ajili ya watu wachache sana a ambao bongo zao zinaweza kuunganisha dot.

Ila vichwa maji hawatajishughulisha zaidi utasikia Ni mambo ya kufikiririka.

NB: Hakuna kitu/tukio/jambo linatokea duniani kwa bahati mbaya. Na km linaonekana bahati mbaya imepangwa hivyo lionekane ni bahati mbaya. Kila kitu ni planned, programmed. It's just a matter of time!

Waache waseme kwamba ni mambo ya kufikirika lakini hawa jamaa wako serious na wanachotaka. Angalia majina yenyewe ya variants ni majina tatanishi mno na yana siri kubwa.
 
... cha kushangaza hapo nini? Mkuu Cvez hapo juu katuwekea nomenclature ya virus vya corona; they are named after Greek alphabets (at least for now); haihitajiki akili yoyote kujua next kitaitwa kwa jina gani. Ni sawa na vimbunga; jina la kimbunga kitakachotokea 2040 tayari lipo kwenye list. Let's be free minded badala ya kutekwa na propaganda uchwara!

Kwanini gate alitumia hilo jina kuonesha huyo demons Ana pretend tu be human wakati anavuna roho? Hapa ndipo kitu kilipo ukioanisha na kirusi omicron. Mkuu punguza ujuaji kidogo upate kitu
 
Kwanini gate alitumia hilo jina kuonesha huyo demons Ana pretend tu be human wakati anavuna roho? Hapa ndipo kitu kilipo ukioanisha na kirusi omicron. Mkuu punguza ujuaji kidogo upate kitu
Mkuu; jina Omicron limetumika na Bill Gates tu? I don't think so!
 
Je umeona hayo maswali yangu hapo juu?? Basi kama umeyaona mtumie huyo jamaa aliyekuambia kwamba watu kama mimi ni wajinga na wasaliti. Na ninasubiri majibu na asipojibu basi yeye ndiye mjinga bali zwazwa.

Hivi, kwa mfano akitokea mtu akatunga hadithi ya kubuni inayohusu jini Mathanzua linalonyonya watu damu na kuwaua halafu baada ya hadithi hiyo kusomwa na watu na baada ya kupita miaka kadhaa likatokea jini linaloua watu kwa jinsi hiyo na watu waliosoma ile hadithi wakalipa hili jini jina la Mathansua wakilifananisha na jini Mathanzua, je hapo tunaweza kumuhukumu yule mtunga hadithi ya jini Mathanzua kwamba yeye ndiye ametengeneza hili jini la kweli la Mathansua??, kumbuka hilo jini la hadithi ni Mathanzua na hili la kweli ni Mathansua, tofauti katika majina ni herufi 'z' na 's' na hilo jini la kwanza ni fictious wakati hili la pili ni factual.

Nataka u exercise akili yako na usipende kuburuzwa na kukubali kila kitu bila kupima na kutafakari kwa kina, yawezekana Unachosema kikawa kweli lakini bila proofs huna haki ya kudai ukweli wake na ni bora ukakaa kimya usijekushikwa udanganyifu.
Unaongea kama Artificial intelligent computer programme, unajiona mwenye akili, kumbe ni left brain personnel, wewe huna tofauti na computer programme tu.
Una do so so and so then you press enter, una execute command.
Ndo wewe sasa, reasoning yako ni very poor.
 
Wewe ni kilaza
Unaongea kama Artificial intelligent computer programme, unajiona mwenye akili, kumbe ni left brain personnel, wewe huna tofauti na computer programme tu.
Una do so so and so then you press enter, una execute command.
Ndo wewe sasa, reasoning yako ni very poor.
 
Hilo jutu kama ni Lishetani lina afadhali mara elfu kwa sababu limeipa dunia Microsoft Windows, wewe ngumbaru hata upewe maisha mawili ya miaka mia mia hutaweza kufikia hata nukta ya mchango wake hapa duniani.
Hilo jitu ni lishetani labda linajua halitokufa.
 
Unaongea kama Artificial intelligent computer programme, unajiona mwenye akili, kumbe ni left brain personnel, wewe huna tofauti na computer programme tu.
Una do so so and so then you press enter, una execute command.
Ndo wewe sasa, reasoning yako ni very poor.


Bado hamjaeleza kwa ushahidi huyo Billy Gates anahusikaje na Virusi Omicron, toeni hoja kuthibitisha my poor reasoning, hata mahakamani ni ushahidi ndio unayo nafasi ya ama mtu afungwe au aachwe huru, sasa toeni ushahidi ili tumuone Gates anahusikaje na mimi nionekane a poor reasoning person.

Mnakaa kwenye vijiwe mkidanganyana huku mkinywa kahawa na alkasusu mkidhani mnaongeza the power of your grey matters kumbe mnaongezeana ujinga na conspiracy theories za kipumbavu halafu mnakuja huku kudanganya watu huku macho, mishipa ya shingo na povu zikiwatoka kama mjusi aliyebanwa na mlango,

Mshairi mmoja,Shk Kaluta Amri Abeid, The diamond of Africa, (the shk, Amri Abeid memorial stadium in Arusha named after him); alipata kuandika;

Usemapo neno.
Pasi ujuzi mtimilifu.
Utauma meno.
Ujaposutwa udanganyifu.
Nayo matukano
Mtukanayo na kukashifu.
Ndio msumeno.
Utakereza zenu sharafu.

Lete hoja na ushahidi na sio matukano na kashfu huku ukijiona ni mwenye akili sana kumbe pimbi wee.
 
Billgate amekuwa victim sana kwenye conspiracy theories
 
Billgate amekuwa victim sana kwenye conspiracy theories
Ata kama kuna ukweli au hakuna ila ni wazi Utajiri wake unamponza, jamaa anapenda sana kufadhiri project za Afya na teknolojia ndio mara nyingi kunamletea shida, ni kama kina Mo tu pamoja na mazuri mengi anayofanya kwenye jamii ila watu hawaoni watamsema kwa mabaya tu

Gate Anatumia zaidi ya robo ya utajiri wake kufadhiri tafiti mbalimbali na yapo mengi ambayo ameisaidia dunia hadi Leo hii na hasa Africa ndio imenufaika Sana na pesa ya jamaa, ila bahati mbaya muda mwingi anasemwa kwa mabaya tu

Nimeamini ukifanikiwa sana napo ni shida sana maana unaongeza maadui wengi kwenye maisha yako, utapigwa vita sana inafkia hatua huwezi kufurahia mafanikio yako, nahisi kuna amani kubwa sana kwenye ufukara kuliko Utajiri
 
What do I gain by cooking stories about Bill Gates,nothing.It's Bill Gates who stands to gain by staging conspiracies against me and humanity in general,because he is Satans' agent.I afterall do not have the capacity to plan any conspiracy against Bill Gates and Company a.k.a the NWO.

A conspiracy is a secret plan by a group a.k.a The NWO carbal to do something unlawful or harmful.I do not have the capacity to do any unlawful or harmful thing against the NWO!What you imply are stories,not conspiracies.
Braza, we ni tahira!
No offense.
Akili yako imesha haribiwa na conspiracy theories, kiasi kwamba unaamini kutoka moyoni huu upuuzi wote unaoandika,
Wadau kama Drifter na wengineyo wamejaribu kukuelekeza,
Hilo game la omikroni, sio wazo la bill gate, wala mali ya Microsoft.Limekua developed na company nyingine tofauti na kuwa realised kwenye OS kadhaa ikiwemo Window au MS-DOS kwa wakati ule.

Na kuhusu kirusi kipya cha uviko kuitwa omicron, ni jinsi gani WHO wamekubaliana ku name instances tofauti tofauti za huyu kirusi

Hakuna dot za ku connect, labda uwe tahira, na sijaona sehemu yoyote uki address hizo hoja zaidi ya ku divert attention kwa kukimbilia kwenye vitu vingine.

Hizo conspiracy theories, hata mimi naweza kuziandika, na nina hakika uta quote article yangu na kuileta hapa
Naweza kuandika conspiracy kuhusu mtu yoyote,na ikaaminiwa na wagonjwa kama wewe.

Hivi hujawahi jiuliza kwanini hizo conspiracy theories hazina mwanzo wala mwisho?
Always zinaanzia kati
Mbona hukuleta uzi wa kutuonya juu ya mpango wa WHO kukipa hiko kirusi jina hilo?, umesubiri wafanye hivyo kwanza?
Mbona hukuleta uzi kuhusu hilo Game la omikroni kabla ya corona?

Wamesubiri coincidence itokee, kisha waka connect two unrelated dots cause kuna matahira kama nyie mtanunua tu.

Kitu gani kinakufanya uamini Bill Gate ndio "Evil guy" na ana mpango mbaya wa kuangamiza dunia nzima, na sio Elon Musk au Jeff bezos ambao ni matajiri kuliko yeye?

Bill gate ni easy target ya conspiracy theorists ambao wanatumia laptop zinazo run Microsoft Windows kuchapisha upumbavu wao, na kwa msaada wa internet ambao Bill na Microsoft wameshiriki kuijenga, ukakufikia wewe.

The reason huo upumbavu ulioandika unafanya kazi kwako,.na utaendelea kufanya kazi mpaka mwisho wako. ni confirmation bias, tayari ushadanganywa na imani yako kuhusu upumbavu wa chapa ya mnyama na dunia moja itakayo tawaliwa na Marekani

So kila aina ya article itakayo ahidi ku confirm imani yako, utaiamini tu

Hakuna chapa ya mnyama, na baada ya miaka 40 ni China na sio Marekani

Nina uzi mpya najiandaa kuuchapisha, "Diamond alikufa kwa ajari Mwaka 2016,na huyu mpya ni clone yake kutoka illuminati, kwa sababu diamond alivunja Masharti ya kutokua na mtoto.

Umeona hapo, mwaka ni 2016?
Unajua namba 9 ni namba ya kafara inayotumiwa na Illuminati?
Connect dot genius, 2+0+1+6 =9????.woow
 
Mtoa mada sijui kama ulijaribu kufanya 'fact check' toka kwenye source yako.

Nimegundua yafuatayo toka kwenye hoja ulizoleta.
1. Game la Omikron halijatengenezwa na bill gates kama ulivojaribu kutuaminisha. Limetengenezwa na Quantic Dream (kampuni ya ufaransa na haina mahusiano na bill gates)
Version ya kwanza ilitengenezwa ikiliwezesha kuchezwa kwenye windows platform na hapa ndipo mnapojaribu kulihusisha game hili na bill gates kwasababu tu game hili mwanzoni lilichezewa kwenye windows platform. Swali kwako mtoa mada, je nikitengeneza application ya kutumika kwenye mfumo wa android hiyo application inakua mali yangu au mali ya mmiliki wa android?

2. Hujatupa tafsiri ya neno omicron ni nini.
Kwa kifupi Omicron ni herufi ya kumi na tano katika mpangilio wa herufi za kigiriki, hivyo jina omicron halijaanzishwa na bill gates na litaendelea kutumika kama vile herufi nyingine za kigiriki zinavyotumika (Alpha, beta, omega nk)
Screenshot_20211208-112638_Chrome.jpg
 
Braza, we ni tahira!
No offense.
Akili yako imesha haribiwa na conspiracy theories, kiasi kwamba unaamini kutoka moyoni huu upuuzi wote unaoandika,
Wadau kama Drifter na wengineyo wamejaribu kukuelekeza,
Hilo game la omikroni, sio wazo la bill gate, wala mali ya Microsoft.Limekua developed na company nyingine tofauti na kuwa realised kwenye OS kadhaa ikiwemo Window au MS-DOS kwa wakati ule.

Na kuhusu kirusi kipya cha uviko kuitwa omicron, ni jinsi gani WHO wamekubaliana ku name instances tofauti tofauti za huyu kirusi

Hakuna dot za ku connect, labda uwe tahira, na sijaona sehemu yoyote uki address hizo hoja zaidi ya ku divert attention kwa kukimbilia kwenye vitu vingine.

Hizo conspiracy theories, hata mimi naweza kuziandika, na nina hakika uta quote article yangu na kuileta hapa
Naweza kuandika conspiracy kuhusu mtu yoyote,na ikaaminiwa na wagonjwa kama wewe.

Hivi hujawahi jiuliza kwanini hizo conspiracy theories hazina mwanzo wala mwisho?
Always zinaanzia kati
Mbona hukuleta uzi wa kutuonya juu ya mpango wa WHO kukipa hiko kirusi jina hilo?, umesubiri wafanye hivyo kwanza?
Mbona hukuleta uzi kuhusu hilo Game la omikroni kabla ya corona?

Wamesubiri coincidence itokee, kisha waka connect two unrelated dots cause kuna matahira kama nyie mtanunua tu.

Kitu gani kinakufanya uamini Bill Gate ndio "Evil guy" na ana mpango mbaya wa kuangamiza dunia nzima, na sio Elon Musk au Jeff bezos ambao ni matajiri kuliko yeye?

Bill gate ni easy target ya conspiracy theorists ambao wanatumia laptop zinazo run Microsoft Windows kuchapisha upumbavu wao, na kwa msaada wa internet ambao Bill na Microsoft wameshiriki kuijenga, ukakufikia wewe.

The reason huo upumbavu ulioandika unafanya kazi kwako,.na utaendelea kufanya kazi mpaka mwisho wako. ni confirmation bias, tayari ushadanganywa na imani yako kuhusu upumbavu wa chapa ya mnyama na dunia moja itakayo tawaliwa na Marekani

So kila aina ya article itakayo ahidi ku confirm imani yako, utaiamini tu

Hakuna chapa ya mnyama, na baada ya miaka 40 ni China na sio Marekani

Nina uzi mpya najiandaa kuuchapisha, "Diamond alikufa kwa ajari Mwaka 2016,na huyu mpya ni clone yake kutoka illuminati, kwa sababu diamond alivunja Masharti ya kutokua na mtoto.

Umeona hapo, mwaka ni 2016?
Unajua namba 9 ni namba ya kafara inayotumiwa na Illuminati?
Connect dot genius, 2+0+1+6 =9????.woow
Mimi sina haja ya kukutukana,ila uko misinformed kiasi fulani.Some of the things you have written are correct.Ila ukweli utatabaki kwamba Bill Gates ni Eugenist kama alivyokuwa baba yake na uko wake.Bill Gates has a reptillian background,kwa hiyo huwezi kumtenganisha na satanic behaviuor.The fact that you believe the WHO or rather any World Organization can do anything good for you is odd and awkward and clearly shows how misinformed you are on who really owns the World.
 
Back
Top Bottom