Uongozi bora na mfumo bora chini ya serikali ya CCM pamoja Na Raisi wetu JPM unasababisha watu kama hawa kuvutiwa kufika hapa nchini kwetu. Kama unajua lugha ya malkia vizuri soma hiyo post yake hapo juu. Utaona anapongeza juhud zinazofanywa na nchi. Nchi ndo serkali, na serkali ni ya CCMUtawala uliopo have nothing to do with Gate's tour.
Huwa kidogo natofautiana na watu mnaopenda kushabikia kila jambo kisiasa.
Hakuna Chama wala serikali ndani ya nchi hii vimefanya lolote kufanya bill gates aje Tz.
Au labda uniambie Serikali yetu chini ya CCM ndio imefanya nchi hii kuwa maskini wa kutupwa hadi leo ndio maana kina bill gates wanakuja kutoa misaada.
Fisadikuu nakupenda Bure. Majib yako mazuri sana.Mkuu kwani kuna uhusiano gani kati ya Jubilee na Bavicha? Mbona ushindi wa Kenyatta umekuwa gumzo ufipani
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona imekuingia moyoni ewe lofaAnother small minded idiot.
Nope. You got it all wrong.Its almost the same as Angeline Jolie's tour to Kenya Last few weeks.
Hakuna uhusiano wowote ndio maana viongozi wetu pendwa wanazidi jenga nchi.. Bavicha mmeacha kila kitu kushabikia vitu visivyowahusuUhusiano gani wewe uliouona?, labda ungeanzia kuuuliza kuna uhusiano gani kati ya CCM na NASA?
Hahahah wapo wapo tu wenyew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umasikini ulionao kwenye akili yako ni angamizo la familia yako na nchi kwa ujumla
young kilimanjaro
Sijui na hizi zitapigwa kama rambi rambi duh ninamawazo kweli maana watakaopewa fungu siwaamini kabisa yaani sijui nifanyeje?Kwa kweli Tanzania ni kimbilio la neema Bill Gates amemwaga billions 780