Hakika jinalako linasadifu ulivyo, habari hii inauhusiano gani na cdm?Chadema watatoa tamko kupinga
Macho ya ulimwengu yatakusaidia nn for instanceSomething is going on. Naona kama wanataka kuisogeza tz kwenye macho ya ulimwengu
Sent using Jamii Forums mobile app
JF wenyewe wana account huko kwa 'wambea' Twitter na FacebookAngejiunga na chama la wana Jf hapo ndo tungetengeneza habari, lakini sio huko kwenye mitandao ya umbea umbea
Sent using Jamii Forums mobile app