Bill Gates na Mark Zuckbereg walikuwa matajiri walipoamua kuacha masomo, kijana usifuate kila unachoambiwa na motivational speakers, Utaangukia pua.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Mark Zuckbereg - Facebook, Whatsapp, Instagram, n.k.
Bill Gates - Microsoft

Tayari walikuwa wametengeneza pesa, wana wafadhili wa projects zao...Wewe kijana unaetaka kuacha masomo kitu pekee unachomiliki kilaptop na simu unataka kuwaiga fikiria mara mbili, do your research.

Sio hivyo tu, hawa jamaa walikuwa ni ma genius wa computers hata kabla ya kuingia vyuoni, Tayari walikuwa na vision kubwa ya kulete vitu vikubwa, wewe hujawahi kumiliki hata Tin Namba unawaiga kina Bills, You are in for a f**king Surprise.
 
Poa
 
Umefoka lakini wakati ni ushauri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…