Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Wakuu vipi.
Huyu dogo Rayvan alitoa Pochi Nene na watu wakaipenda. Sasa akasema atatoa Remix ambayo itakua na wasanii kibao.
Kabla hajatoa official alikua ana release video footage fupi fupi za baadhi ya verse za hao wasanii Youtube na Instagram.
Moja ya verse kali ilikua ya Bill Nas. Fupi ila ilikua nzuri. Kwenye verse alijisifu yeye ni Mafiyonso wanamuita mzee wa Ndole aka Juma Nyoso.
Hiyo nadhani ni kutokana na ile video yake na Nandy.
Sasa nashangaa wimbo official umetoka hii verse haipo. Sababu ni ipi au haikua na maadili verse yake?
Naona flow zake zimezibwa na King Zilla.
Huyu dogo Rayvan alitoa Pochi Nene na watu wakaipenda. Sasa akasema atatoa Remix ambayo itakua na wasanii kibao.
Kabla hajatoa official alikua ana release video footage fupi fupi za baadhi ya verse za hao wasanii Youtube na Instagram.
Moja ya verse kali ilikua ya Bill Nas. Fupi ila ilikua nzuri. Kwenye verse alijisifu yeye ni Mafiyonso wanamuita mzee wa Ndole aka Juma Nyoso.
Hiyo nadhani ni kutokana na ile video yake na Nandy.
Sasa nashangaa wimbo official umetoka hii verse haipo. Sababu ni ipi au haikua na maadili verse yake?
Naona flow zake zimezibwa na King Zilla.