hugo jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 498
- 1,645
habari wapendwa
nina tatizo la ugonjwa wa manjano, kwenye ngozi na macho. last time niliambiwa nile sana miwa nitapona lakini wapi
kwa sababu nilikua sina maumiv nilichelewa kwenda hospital
j3 nilienda hospital nikafanyiwa ultra sound j4 wakafanya ct scan
majibu dokta kasema ni billiary obstraction na kanipa barua niwahi muhimbili haraka sana
nikamuuliza ndo ugonjwa gani yeye akajibu wahi muhimbili, kwa anae jua jaman ni kitu gani hii maana nimepagawa mno
nipo najiandaa niende huko kesho
nina tatizo la ugonjwa wa manjano, kwenye ngozi na macho. last time niliambiwa nile sana miwa nitapona lakini wapi
kwa sababu nilikua sina maumiv nilichelewa kwenda hospital
j3 nilienda hospital nikafanyiwa ultra sound j4 wakafanya ct scan
majibu dokta kasema ni billiary obstraction na kanipa barua niwahi muhimbili haraka sana
nikamuuliza ndo ugonjwa gani yeye akajibu wahi muhimbili, kwa anae jua jaman ni kitu gani hii maana nimepagawa mno
nipo najiandaa niende huko kesho