goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Nabii huyu Ni Nani ?pesa anazipataje yey ni kweli ni tapeli Kama wanavyosema watu kuwa tapeli au Ni kijan mchapa Kaz Basi tusema wivu tu kwa kuwa pia anaonekana na pisi Kali na kula Bata hapa jiji dsm
Kjn Ni mchapakaz kwani nimeona mirad Yake ya nguruwe na kuku hata tukisema sadaka anazitumia vibaya siyo kweli mbona Hana wahumini wengi wa kumsababisha yeye kuwa billionaire ?
Jana katoa crown mpya kwa pisi Kali fln hv na sasa HV Yuko Dubai nabii huyu Ni vip ? pia nasikia mam ake na Bab ake Ni maafisa wa ngaz za juu San katk jeshi la [emoji61]
Kjn Ni mchapakaz kwani nimeona mirad Yake ya nguruwe na kuku hata tukisema sadaka anazitumia vibaya siyo kweli mbona Hana wahumini wengi wa kumsababisha yeye kuwa billionaire ?
Jana katoa crown mpya kwa pisi Kali fln hv na sasa HV Yuko Dubai nabii huyu Ni vip ? pia nasikia mam ake na Bab ake Ni maafisa wa ngaz za juu San katk jeshi la [emoji61]