goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona kawaida sana, sioni pisi yoyote hapa
Alafu cocastic hiyo crown ntakuvua maana unachelewa sana kuleta habari ujue ooohhhooo.Uwage unatulia, umbea lazima ujitosheleze, khaaaah
Hebu weka pc ya crown na pisi kali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona huyu shilla ni bilionea wa muda mrefu tu au umemjua leo
Itakua Althlete tu ya 2007Picha nioe hyo crown tu maana hyo pisi naijua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas umbea haukufai.Sasa coca nikijaribu kuweka na picha ikagoma [emoji3]
Picha inahusu tafadhaliNabii huyu Ni Nani ?pesa anazipataje yey ni kweli ni tapeli Kama wanavyosema watu kuwa tapeli au Ni kijan mchapa Kaz Basi tusema wivu tu kwa kuwa pia anaonekana na pisi Kali na kula Bata hapa jiji dsm
Kjn Ni mchapakaz kwani nimeona mirad Yake ya nguruwe na kuku hata tukisema sadaka anazitumia vibaya siyo kweli mbona Hana wahumini wengi wa kumsababisha yeye kuwa billionaire ?
Jana katoa crown mpya kwa pisi Kali fln hv na sasa HV Yuko Dubai nabii huyu Ni vip ? pia nasikia mam ake na Bab ake Ni maafisa wa ngaz za juu San katk jeshi la [emoji61]
Ajabu sana....huyu jamaa yuko wapi siku hizi?Kwahyo mtu cku hizi akienda dubai, akitoa zawad yagari au akifuga kuku na nguruwe ni billionaire?
Tanzania ina billionaire mmoja, 80 multimillionaires , 8 cent millionaires alafu HNWIs wapo 2400.. Huyu dan hayupo hata kwenye hawa watu 2488...usifanye mchezo na kuwa billionaire, hapa tunavyoongea CR7 mwenyewe sio billionare, duniani ma billionaire hawazid hata 3000.Kwahyo mtu cku hizi akienda dubai, akitoa zawad yagari au akifuga kuku na nguruwe ni billionaire?
HV ukogo wapi siku hziUwage unatulia, umbea lazima ujitosheleze, khaaaah
Hebu weka pc ya crown na pisi kali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo nimejaa teleeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
100%🛐Manabii ni kina Musa, Eliya, Isaya, Daniel na wengineo kwenye maandiko matakatifu.
Hawa wa kwenu wa mjini ni usanii mtupu