jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Kwahiyo hiyo inahusiana vipi? Huyo mwendesha mashitaka ndo ameifanya democrats iwe kama ccm?Mwenesha mashitaka wa serikali, Letitia James, ni M-democrat.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hiyo inahusiana vipi? Huyo mwendesha mashitaka ndo ameifanya democrats iwe kama ccm?Mwenesha mashitaka wa serikali, Letitia James, ni M-democrat.
Wamembambikizia kesi.Kwahiyo hiyo inahusiana vipi? Huyo mwendesha mashitaka ndo ameifanya democrats iwe kama ccm?
ni wajinga tu ndio wanaamini kuna demokrasia pale..... uhuni tuTakuwa wa mwisho kuamini Marekani kuna demokrasia.
Wale wenye vichwa vilivyojaa kamasi ndio huwa wanatolea mfano Marekani.
Pale pangekuwa na demokrasia hiyo inayosemwa basi ubaguzi wa rangi ingekuwa ni ngumu sana kuushuhudia.
Mara 100 uniambie France wale wanajitahidi katika hilo somo la demokrasia.
fungua macho na akili,..Kwahiyo hiyo inahusiana vipi? Huyo mwendesha mashitaka ndo ameifanya democrats iwe kama ccm?
trumpy’s fraudulent business practices has nothing to do with Letitia being a democrat whatsoever.fungua macho na akili,..
walianza kwanza kumpa makesi mengine mengine, walipoona ametoboa wakaja na rulling ya kumwondoa kwenye ballot...SC ikatupilia mbali,
saizi ndio wamekuja na hii ya kumfilisi.......
Trump ni tapeli muda mrefu tu,Wamembambikizia kesi.