Mtamba wa Panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 764
- 1,892
Billionaire wa Misri, Loufty Mansour ameonyesha nia ya kuinunua Chelsea Football Club.
Hii ni baada ya mmiliki wa sasa wa klabu hiyo, Billionaire wa Urusi Roman Abramovich kuthibitisha nia yake ya kuiuza klabu hiyo ambayo ni bingwa mtetezi wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE #UCL.
Loufty Mansour ni mtoto wa kiume wa Billionaire wa Misri, Mohamed Mansour. Pia Loufty ni mkurugenzi wa Man Capital, kampuni inayojihusisha na uwekezaji na inayomilikiwa na kampuni mama ya Mansour Group.
Katika jambo linaloonyesha upenzi wake kwa Chelsea FC, Mansour anatiketi ya msimu(Seasonal ticket) kwa mechi zote za Chelsea kwenye uwanja wao wa nyumbani Stamford Bridge.
Hii ni baada ya mmiliki wa sasa wa klabu hiyo, Billionaire wa Urusi Roman Abramovich kuthibitisha nia yake ya kuiuza klabu hiyo ambayo ni bingwa mtetezi wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE #UCL.
Loufty Mansour ni mtoto wa kiume wa Billionaire wa Misri, Mohamed Mansour. Pia Loufty ni mkurugenzi wa Man Capital, kampuni inayojihusisha na uwekezaji na inayomilikiwa na kampuni mama ya Mansour Group.
Katika jambo linaloonyesha upenzi wake kwa Chelsea FC, Mansour anatiketi ya msimu(Seasonal ticket) kwa mechi zote za Chelsea kwenye uwanja wao wa nyumbani Stamford Bridge.