Billionea Abramovich atangaza kuuza mali zake zote nchini Uingereza ikiwemo Chelsea FC. Mabilionea wa Tanzania changamkieni fursa!

Bei ya klabu ya Chelsea ni zaidi ya utajiri wa Mo bakressa Rostam kwa pamoja
 
Mkuu, mtu akiitwa bilionea kwa uchumi wa tanzania…na mwingine jina hilo hilonkwa uchumi wa ulaya, hao ni watu waili tofauti sana
Vivyo hivyo hata akiitwa waziri au rais mkuu
 
Walimnyima pamoja uwekezaji kwenye mpira ulisaidia sana kuvutia wawekezaji wa nje!

Chelsea kipindi iko alichonunua alikuwa inapulia mashine!
Yes nakubaliana na wewe uwekezaji wa ROMAN pale Chelsea ulivutia wawekezaji kwenye soka kwa ujumla

Man city wangekuwa sawa na wigan leo hio kama sio roman kuweka mfano mashekh wakaja na arab money

New Castle

Psg

Monaco

Hawa wotr wamefaidika na uwekezaji wa Chelsea kama mfano
 
Najisikia vibaya sana na mawazo mno..Je atakayenunua atafanya kwa Abromovich?

Tumezoea Mataji...!
 
GSM amemtuma Hersi aende London kuona uwezekano wa kuinunua.

Halafu Zuzu Manara ataitisha press cku zijazo kutoa mrejesho.
 
[emoji871]Kwa hiyo thamani ya Simba Sports Club inayomilikiwa na Bilionea wa Tanzania[emoji1241],
Mo Dewji.

[emoji871]Ina thamani sawa na Chelsea Club [emoji170] ya Uingereza inayomilikiwa na Abramovich?

[emoji871]Ingekuwa ni hivyo.........duh!
Tupatie digits (net values) zao
Je wote wako kwenye same digits interms of USD?
If yes, basi CFC na simba ya MO wako sawa
Asante!
 
ACHA AIUZE KWANI PUTIN ANACHEZA NAMBA NGAPI? UKRAINE INATUFUNGULIA JINSI WAZUNGU WALIVYO WANAFIQ.WATAKUJA wataalam wa kivita kutetea hili vita na mfanyabiashara wapi na wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…