Hahaa... Kuna jamaa yangu alikuja kutoa mahali Kenya, nilimsindikiza! Aisee wakikuyu walimkamua vilivyo... to bad ndoa yenyewe ilidumu kwa miaka 3 tu![emoji23][emoji23][emoji23]ng'ombe wawili wanatosha.usjisumbue sana
Jombaa, tazama haya masuala kwa jicho la tatu, hii ni vuta nikuvute za kisiasa kati ya Ruto na Raila, la sivyo Ruto hangejisumbua hata kidogo. Hahaa [emoji1] na bado utasikia mengi kabla uchaguzi wa 2022 uwadie.Mkuu ile kesi ilikua na mambo mengi sana ifuatilie vizuri utanisoma... Magufuli anaye julikana dunia nzima kwa kukemea ufisadi na uonevu wa maskini unahisi anaeza kujichafua kwa kutoa msamaha kwa mtu ambae anakosa ili iweje!? Ili apate nini? Kuhusu Ruto, mwanasiasa anae kumbatia ma bwanyenye ni hatari sana kwa mustakabali wa nchi yenu. Naomba ukumbuke ushauri wangu utakapo enda ku vote next time.
Nimecheka sana. Vipi kuhusu mchumba wako wanjiru?Hahaa... Kuna jamaa yangu alikuja kutoa mahali Kenya, nilimsindikiza! Aisee wakikuyu walimkamua vilivyo... to bad ndoa yenyewe ilidumu kwa miaka 3 tu!
Hivi niulize, rao atapigania kiti cha urais kweli?Jombaa, tazama haya masuala kwa jicho la tatu, hii ni vuta nikuvute za kisiasa kati ya Ruto na Raila, la sivyo Ruto hangejisumbua hata kidogo. Hahaa [emoji1] na bado utasikia mengi kabla uchaguzi wa 2022 uwadie.
Siasa zenu ni kama series iliyo andaliwa Hollywood. Kuna jamaa yangu alikua ana muhonga teacher ali amletee magazeti aweze kufuatilia siasa zenu ajabu mkienda canteen hana pesa ya msosi inabidi umnunulie! Ila uwekezaji wake umemsaidia, sasa hivi anaingia kwenye mfumo wenu. Niatamuombea awe raisi wenu ile nije kupiga deal za kifisadi Nai [emoji23]Jombaa, tazama haya masuala kwa jicho la tatu, hii ni vuta nikuvute za kisiasa kati ya Ruto na Raila, la sivyo Ruto hangejisumbua hata kidogo. Hahaa [emoji1] na bado utasikia mengi kabla uchaguzi wa 2022 uwadie.
Ni risto ndefu... ila ime mada. Sasa hivi niko single & ready to mingle[emoji41]. Mimi ni yule msee atakae kufanya uhisi ww ni manzi pekee aliye alive hapa duniani.Nimecheka sana. Vipi kuhusu mchumba wako wanjiru?
Atakosaje? Naona karata zake siku hizi anazicheza kiutaalamu sana. Usishangae akiapishwa kama rais wa Kenya baada ya uchaguzi wa 2022, na sio na Miguna Miguna kama ule wakati mwingine.Hivi niulize, rao atapigania kiti cha urais kweli?
Acha baba astaafu tu aachane na siasa.Akapumzike. . He's 73 now. Right?Atakosaje? Naona karata zake siku hizi anazicheza kiutaalamu sana. Usishangae akiapishwa kama rais wa Kenya baada ya uchaguzi wa 2022, na sio na Miguna Miguna kama ule wakati mwingine.
Ichoboy anasumbuliwa na uzalendo. Ukweli anaujua. Ulisoma shule gani Kenya?Ni risto ndefu... ila ime mada. Sasa hivi niko single & ready to mingle[emoji41]. Mimi ni yule msee atakae kufanya uhisi ww ni manzi pekee aliye alive hapa duniani.
Ata msimamo wako kwenye battle Dar Vs Nai uta change, utaanza ku like comments za icho boy [emoji23]
Hahaha! [emoji1] Chakula cha nini bana, gazeti kwanza! Kali sana.Siasa zenu ni kama series iliyo andaliwa Hollywood. Kuna jamaa yangu alikua ana muhonga teacher ali amletee magazeti aweze kufuatilia siasa zenu ajabu mkienda canteen hana pesa ya msosi inabidi umnunulie! Ila uwekezaji wake umemsaidia, sasa hivi anaingia kwenye mfumo wenu. Niatamuombea awe raisi wenu ile nije kupiga deal za kifisadi Nai [emoji23]
Anaongeaga ukweli, siku nitakapo kuzungusha Dar ndiyo uta amini maneno yake. Hayo mengine njoo PM, nitakujibu maswali yote mpaka salary yangu utaijua [emoji41]Ichoboy anasumbuliwa na uzalendo. Ukweli anaujua. Ulisoma shule gani Kenya?
Hahaha! [emoji1] Natania tu, nadhani wakulaumiwa ni wanahabari wa Tz na media kwa ujumla. Hizi nyakati za habari kwenye mitandao zimerahisha sana mambo na sio kibarua kigumu kufatilia habari kutoka sehemu yeyote ile duniani. Ila quality ya media na wanahabari wa kitz inawafanya wengi wasiweze kufatilia habari kutoka Tz kwa urahisi. Mimi mwenyewe nilishindwa kuwaelewa, yaani wapo wapo tu, hawajiongezi.Ndiyo ukweli wenyewe huo uliousema!
Ukitaka quality kwa Tz tafuta Azam decorder uone Azam channels, uki watch news ni kama una angalia BBC! Quality studio iliyo jengwa na timu iliyotengeneza studio mpya za BBC, Alikuja boss wa BBC world akasema haoni tofauti na studio yake ya London. Uchambuzi usiyo egemea upande, watangazaji waliobobea kwenye game. Wengi wame wanunua kutoka BBC idhaa ya Kiswahili. Ile taharifa yao huwa inatumia pesa maana daily lazima walete wabobezi wa news ambazo zime make headlines, au kuwasiliana nao online popote walipo duniani. Citizen tv yenu inajitahidi pia.Hahaha! [emoji1] Natania tu, nadhani wakulaumiwa ni wanahabari wa Tz na media kwa ujumla. Hizi nyakati za habari kwenye mitandao zimerahisha sana mambo na sio kibarua kigumu kufatilia habari kutoka sehemu yeyote ile duniani. Ila quality ya media na wanahabari wa kitz inawafanya wengi wasiweze kufatilia habari kutoka Tz kwa urahisi. Mimi mwenyewe nilishindwa kuwaelewa, yaani wapo wapo tu, hawajiongezi.
Sawa. πAnaongeaga ukweli, siku nitakapo kuzungusha Dar ndiyo uta amini maneno yake. Hayo mengine njoo PM, nitakujibu maswali yote mpaka salary yangu utaijua [emoji41]
Nimesha fungu mlango wa Pm yangu (Gentleman style)[emoji41]. I am waiting for you my lady..... usiniangushe (Dont drop me) [emoji2]Sawa. [emoji23]
πππππNimesha fungu mlango wa Pm yangu (Gentleman style)[emoji41]. I am waiting for you my lady..... usiniangushe (Dont drop me) [emoji2]
Sanasana sikuwa namaanisha quality za studio. Nilimaanisha taaluma ya uanahabari, uthubutu wa kuvuka mipaka ili kuwasilisha habari na uwazi wa kuanika kila kitu hadharani. Uhuru wa wanahabari pia. Kuna ma'investigative journalists' mfano mzuri ni aliyekuwa KTN, Mohamed Ali, John Alenamu, Onsarigo n.k. Huo ndio mvuto kamili wa habari, kufichua yote bila uoga.Ukitaka quality kwa Tz tafuta Azam decorder uone Azam channels, uki watch news ni kama una angalia BBC! Quality studio iliyo jengwa na timu iliyotengeneza studio mpya za BBC, Alikuja boss wa BBC world akasema haoni tofauti na studio yake ya London. Uchambuzi usiyo egemea upande. Wengi wame wanunua kutoka BBC idhaa ya Kiswahili. Ile taharifa yao huwa inatumia pesa maana daily lazima walete wabobezi wa news ambazo zime make headlines, au kuwasiliana nao online popote walipo duniani.Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Hivyo vyote unavipata Azam Tv, huyo jamaa Mohamed Ali nini kili mkuta! Alikua anajilipua sana. Hivi wale madogo wanao chezaga kwenye 10/10 huwa wanatolewa wapi.. wanalipwa? Maana wanajichetuaga si kidogo.Sanasana sikuwa namaanisha quality za studio. Nilimaanisha taaluma ya uanahabari, uthubutu wa kuvuka mipaka ili kuwasilisha habari na uwazi wa kuanika kila kitu hadharani. Kuna ma'investigative journalists' mfano mzuri ni aliyekuwa KTN, Mohamed Ali, John Alenamu n.k. Huo ndio mvuto wote wa habari.